Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
iiiiiih wewe,,aya sawaSijakubishia usinifokee
Matope hayo. Nawachukia sana watu wanaofanya sherehe kubwa huku wakijua hawana uwezo wa kugharamia harusi hiyo. Huu ni uendawazimu.Habari wadau.
Nimekutana na post mtandaoni wa maharusi wapya wanalalamikiwa kukwepa kulipa deni la milioni zaidi ya 10 walizokopa kwa ajili ya kufanyia harusi yao.
Inasemekana walifanya harusi kubwa iliyotrend instagram kwenye page za MC maarufu. Kwa hela za mkopo. Ila kulipa deni hawataki
Inasemekana kazi ya bwana harusi ni winga maarufu wa kuuza simu makumbusho.
View attachment 3201212
Natoa wap sasa na wakopeshaji wapo kwaajili yetu sisi wenye tamaa.Vizuri uwe na hela zako
Hii sikuifikiria hii... 🤣🤣🤣Ukiona watu wamefikia uamuzi wa kuoana jua kabisa fuse haiko sawa kichwani
Winga kaingia kingiHabari wadau.
Nimekutana na post mtandaoni wa maharusi wapya wanalalamikiwa kukwepa kulipa deni la milioni zaidi ya 10 walizokopa kwa ajili ya kufanyia harusi yao.
Inasemekana walifanya harusi kubwa iliyotrend instagram kwenye page za MC maarufu. Kwa hela za mkopo. Ila kulipa deni hawataki
Inasemekana kazi ya bwana harusi ni winga maarufu wa kuuza simu makumbusho.
View attachment 3201212
Habari wadau.
Nimekutana na post mtandaoni wa maharusi wapya wanalalamikiwa kukwepa kulipa deni la milioni zaidi ya 10 walizokopa kwa ajili ya kufanyia harusi yao.
Inasemekana walifanya harusi kubwa iliyotrend instagram kwenye page za MC maarufu. Kwa hela za mkopo. Ila kulipa deni hawataki
Inasemekana kazi ya bwana harusi ni winga maarufu wa kuuza simu makumbusho.
View attachment 3201212
Sawaiiiiiih wewe,,aya sawa
Maisha ni kuchagua
EEh tumeumbwa na akili na matamanio tofauti mkuuWanawake wa mjini bila harusi ya kupostiwa kwenye page za ma MCs wanaona hawajaolewa.