Ni Arusha tu ilikuwa inavuruga kukubalika kwa mwamba 2025 kuwa kama mgombea Mwenza wa Samia, hii ni Season 2, episode 1

Ni Arusha tu ilikuwa inavuruga kukubalika kwa mwamba 2025 kuwa kama mgombea Mwenza wa Samia, hii ni Season 2, episode 1

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Makonda anakubalika nchi nzima Sema sasa kwa Arusha kidogo kuna wapinzani walikuwa wanamchafua Sana Sasa mama anataka atembelee nyota ya Makonda 2025.

Lakini walikaa wakagundua mwamba anakubalika mikoa yote ya Tanzania bara isipokuwa Arusha, Mbeya na Mara Sana Sana Arusha amepelekwa kwenda kujiwekea mizizi ili mwaka 2025 awe mgombea mwenza wa Samia.
 
Anapendwa nchi nzima kivipi? Umefanya utafiti gani hadi ukasema hivyo? Mbona wapo baadhi ya watu hawampendi? Unataka kuniambia hata wale aliowatuhumu kuuza ngadu wanampenda?

Vipi GSM na familia yake? Ukimfunua Lissu leo au Lema na kumtaja Makonda siutawajaribia mood kwa wakati huo?

Vipi kwa mzee Sinde Warioba na watu wake wa karibu? Kwakipigo kile cha hadharani anaanzaje kumpenda?
Usiseme anakubalika nchi nzima. Umedanhanya. Huyo Mungu muumba wa kila kilichomo wapo wanaomkataa itakuja kua huyo mtu wako unae mnadi?

Anakubalika nchi nzima vipi wakati hata waliomuibua huko MAFICHONI pia wameona hatoshi kwenye uenezi wamem'bwaga. Ameporomoshwa kuliko maelezo. Wanaoju wanaelewa na hata yeye anaelewa.

Sialikua anampa PM maelekezo hadjarani,anawapigia simu mawaziri sasa leo itakuaje? YEYE PIA ANAPATA WAKATI MGUMU ANAPOJIULIZA ITAKUAJE NA ATAANZAJE.

Tafuta lugha ya kumsifia usitoke kwenye reli
 
Anapendwa nchi nzima kivipi? Umefanya utafiti gani hadi ukasema hivyo? Mbona wapo baadhi ya watu hawampendi? Unataka kuniambia hata wale aliowatuhumu kuuza ngadu wanampenda?
Vipi GSM na familia yake? Ukimfunua Lissu leo au Lema na kumtaja Makonda siutawajaribia mood kwa wakati huo? Vipi kwa mzee Sinde Warioba na watu wake wa karibu?
Usiseme anakubalika nchi nzima. Umedanhanya. Huyo Mungu muumba wa kila kilichomo wapo wanaomkataa itakuja kua huyo mtu wako unae mnadi?

Tafuta lugha ya kumsifia usitoke kwenye reli
Sasa GSM wauza madawa ya kulevya kwa kuwatumia Yanga unawataja wa nini
 
Makonda ni Charismatic.
Jamii za Kisukuma ambazo ni mwenyeji ni mtaji wa Kisiasa.
Wafuasi wengi wa JPM Makonda ndie copy yao.
Ndani ya CCM Makonda bado ni ASSET! Over
 
Lakini walikaa wakagundua mwamba anakubalika mikoa yote ya Tanzania bara isipokuwa Arusha, Mbeya na Mara Sana Sana Arusha amepelekwa kwenda kujiwekea mizizi ili mwaka 2025 awe mgombea mwenza wa Samia
Angeendelea na nafasi yake ya uwenezi ndiyo angejiimarisha zaidi katika mikoa hiyo, kuliko kuwa RC. Ukishakuwa RC wa mkoa husika. Utaleta mikwaruzano kama ile ya Gambo na Lema ukiegemea kwenye siasa zaidi.

Mwambieni ukweli Makonda kuwa amegusa nyaya za rimoti alipokomaa kumtukuza marehemu, ndiyo maana wakamla kichwa. Na akiendelea kumtajataja marehemu hata huko Arusha, Zuhura Yunus atamwaga wino siku si nyingi.
 
Makonda anakubalika nchi nzima Sema Sasa kwa Arusha kidogo Kuna wapinzani walikuwa wanamchafua Sana Sasa mama anataka atembelee nyota ya Makonda 2025.

Lakini walikaa wakagundua mwamba anakubalika mikoa yote ya Tanzania bara isipokuwa Arusha, Mbeya na Mara Sana Sana Arusha amepelekwa kwenda kujiwekea mizizi ili mwaka 2025 awe mgombea mwenza wa Samia
Elezea anakubalika kwa lipi. Utekaji, asiyejulikana au mvamizi wa Clouds FM/TV
 
Back
Top Bottom