Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,725
- 21,818
[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]Wewe hapo [emoji7]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]Wewe hapo [emoji7]
na mteteaNamtagaji au mtagiaji [emoji23][emoji23][emoji23]
hatamimi namkubali ila ana kaundava flani hivi
Mimi nimeamua kumpenda hivyo hivyohatamimi namkubali ila ana kaundava flani hivi
vizuri, komaaMimi nimeamua kumpenda hivyo hivyo
ID yako ipo kiaina yake, ulimwambia mtu wewe ni mkulima akakucheka niniMimi nimeamua kumpenda hivyo hivyo
Who is marianah???Rihanna ni mzuri ila tatizi lake lile komwe la kibaharia
Angekuwa na baby face kama Ariana Grande ( @marianah ) angekuwa ni shida mjini
Mahondraw sijui ndo inaandikwa hivo.aseeee!
pamoja wengi avatar sio zao, lakini mtu inakua ukiiona tuu unapagawa yani unaona kama labda anafanania vile, kumbe ukute ni furushi tuu halina mpango, ipi kwako inakuvutia na kukupa mtekenyo wa ndani na mshawasha zaidi??
mimi hii hapa
View attachment 1208916
Kimbilia uelekeo wa PM nakusubiria kwa hamu....[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Kwan atamtag kwa lengo la kuniumiza miekuna jamaa Smart 911 ngoja aje amtagi hapa kama kawaida yake
ndio demu wake huyoKwan atamtag kwa lengo la kuniumiza mie
mi sijuhi ilondio demu wake huyo
Marianah ni Wewe hapo.Who is marianah???
So Ariana Grande humtaki tena ?Avatar yangu mwenyewe huwa naikubali sana