Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
[emoji1787][emoji1787]Hiyo avatar mama imekuwaje tena[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]Hiyo avatar mama imekuwaje tena[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Ndiyo nimebadili mkuu..I hope nayo utaipendaNaona umebadilisha
Ila nzuri bana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyo nimebadili mkuu..I hope nayo utaipenda
Mambo ya kawaida haya tembea uone
Huo mguu wenye chocolate colour ni wako?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Za siku mtumishi huyo ni wewe? Kwa avatar unaonekana sio mtu wa mambo mengi hongera
Nzuri,za kunikimbia??Za siku mtumishi huyo ni wewe? Kwa avatar unaonekana sio mtu wa mambo mengi hongera
Sawa. Nina bifu na wewe halafu
Duuh yaani ulivyokazania huko Pattaya na Patong inaonekana ndiyo umetembea huko tu ila basi ndiyo unajiona kama umetembea dunia nzima yaaniNimetembea Sana.. Nje na Ndani ya nchi hasa Pattaya kule Thai
Kwa hyo Kama ni nzur nisiseme?
Duuh yaani ulivyokazania huko Pattaya na Patong inaonekana ndiyo umetembea huko tu ila basi ndiyo unajiona kama umetembea dunia nzima yaani
Ndiko ulikokuwa unapata makahaba wazuri kuliko wote duniani au siyo??Sio huko tuu ila huko nimekupenda zaidi ndo maana nakutaja Sana
Kipendacho roho ..
Ndiko ulikokuwa unapata makahaba wazuri kuliko wote duniani au siyo??
Yaani wewe hauna jema unaonekana muda wote unawaza kupiga na kusepa tu and you are always negative on womenSijakupendea kwa ajiili hiyo tu
Mda wote unadhani watu tunakuwa negative tu hatuna jema
Lini nilikwambia nimekataa?Umekataa kuwa rafiki yangu kwa hiari?
Lini nilikwambia nimekataa?
Sio Yeye.Yaani wewe hauna jema unaonekana muda wote unawaza kupiga na kusepa tu and you are always negative on women
Mbona hujawahi kuniuliza.Mbona hujaniambia kama umekubali siku zote uko kimya!