Ni balozi wa Nchi gani alifukuzwa Tanzania kwa sababu aliwajua waliomshambulia Lissu?

Ni balozi wa Nchi gani alifukuzwa Tanzania kwa sababu aliwajua waliomshambulia Lissu?

We una hoja gani hapa?

Kwanini Lissu akisimulia Madhira yaliyompata mnachukia sana? Mlitaka afe?
Nipo kwenye kutafuta haki. Kwann hasiende mahakamani? That's my question to you. Naomba Majibu, usilete matusi. Kila siku anahojiwa anatoa shutuma hizo.
 
Sisi wanyonge tulishauri Serikali itumie vyombo huru kuchunguza hili jambo ili ukweli ujulikane.

Kukaa kim ya wasidhani kwamba yameisha.

Mwanajamii Forum 'Stuxnet' kwenye moja ya comment yake hapa juzi alitoa comment moja matata sana. Sitaki kuiamini lakini tunasubiri Uchunguzi huru.

Inaonekana kuna mambo mengi yalifanyika enzi zile ambayo hatuyafahamu
Ujinga mtupu, Lissu aliisha sema aliyempiga risasi ni Magufuli,Sasa uchunguzi wanini wakati Lissu ananjua aliyempiga risasi? Lissu haende mahakamani Maana Yeye anajifanya mwanasheria nguli hiki kichaka cha mahakama zetu hazitendi haki ni uongo, mbona Lissu haliwahi kushinda kesi nyingi kupitia hizi mahakama!.
 
Ujinga mtupu, Lissu aliisha sema aliyempiga risasi ni Magufuli,Sasa uchunguzi wanini wakati Lissu ananjua aliyempiga risasi? Lissu haende mahakamani Maana Yeye anajifanya mwanasheria nguli hiki kichaka cha mahakama zetu hazitendi haki ni uongo, mbona Lissu haliwahi kushinda kesi nyingi kupitia hizi mahakama!.
Unapoteza muda wako hapa. Nenda kafanye kazi
 
Kweli lissu akili imechoka. Kila siku anataka, haojiwe lakin anaongea nonsense. Kama kuna ushahid Lissu ni mwanasheria afungue kesi mahakamani. Sasa, kila, siku porojo tu.
Inaonekana wewe ni mhitimu wa shule za kata
 
Si akafungue mashtaka kama anajua?
Kwanza hao walomshambulia nasikia walishauwawa wote
 
Unapoteza muda wako hapa. Nenda kafanye kazi
Wewe ndiye anayepoteza mda kuandika habari za kufikirika kila kukicha mnaleta habari eti mnataka uchunguzi wa kupigwa risasi Lissu wakati Yeye Lissu kwamujibu wake Yeye ananjua vizuri,tulimwona hakizunguka kwenye vyombo vya habari vya kimataifa akimtaja,Sasa uchunguzi wanini? Lissu hakwende mahakamani full stop.
 
Na afiki.
Lissu ana hasira na makasiriko. kwa lugha nyepesi ni Frustration.

Hata mimi ninge kiamsha.

Wewe mkuu unasema umeme tu? Suala la bandari lilikuwa moto zaidi we acha tu.

Kwa mtazamo wangu, CCM waishukuru CHADEMA kwa kusuasua, na kuto kutoa ushirikiano kwa wakati kwa Sauti ya Watanganyika, nataka kusema ilikuwa kwa makusudi sababu za yale "Maridhiano ya nyuma ya Pazia"

Na mara nyingi tatizo linakuja nani ataweza kulinda interest za wenye interest. Usifikiri zile safari za mabalozini zilikuwa in vain.

Haijalishi.
CHADEMA lacks a cohesive message and a coherent policy ajenda.
Chadema lacks committed leadership; the top echelons are mostly all mercenaries!
In Nyerere’s parlance ni “ malaya malaya “.
 
Makonda na kipilimba
Ile damu iliyomwagika kamwe haiwezi kupotea bure!
Kama sio ninyi vizazi vyenu vitakuwa vya laana milele (rejeeni vitabu vitakatifu)
 
Dpp ni nani na kwanini awe na mamlaka ya kufuta kesi ambayo imepelekwa mahakamani
 
..kuna balozi zina majasusi hapa nchini.

..nakushauri ukasome taarifa za CIA kuhusu Tz zilizokuwa declassified utaelewa kuwa kuna watu wanatuchunguza.

Kila nchi ina majasusi Ubalozini. Hata Tanzania wanapeleka Majasusi kwenye Balozi zao ... Mfano Mdogo tu Othman alikuwa Afisa Ubalozi UK akaja kuwa Mkuu wa Usalama. Kipilimba alikuwa Mkuu wa Usalama akaenda kuwa Balozi Namibia ..... 80 % ya wafanyakazi Ubalozini ni mashushushu .....!
 
..kuna Mama toka Afrika Magharibi alikuwa UN naye alifukuzwa.

..labda tuangalie kama muda aliofukuzwa ni kabla au baada ya shambulizi la Tundu Lissu.

..lakini kama ni Lissu ametonywa na watu wa Ubalozi basi uwezekano wa taarifa hizo kuwa za kweli ni mkubwa sana.
Unaambiwa hadi video ipo inasubiriwa muda tu ivujishwe.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom