Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani tangu wakati huo mimi huenda stand tu. nitakalokuta ndilo napanda.....na sasa hivi kuna mtindo wa hovyo sana unakwenda siku mbili kabla ya safari, unaonyeshwa chat imejaa. siku ya safari ukifika unakuta wanapiga debe basi hilo hilo liko wazi. Niliwahi kufanyiwa hivyo na kimbinyiko dodoma, ikanichefua moja kwa moja.Haya mabasi wana customer care za hovyo sana. Shabiby nao ndio hovyo kupindukia.
Kuna za kigoma na swanga nahisi na mwanza anazo mpya kuna ile T 666 csm inatokea dar bukoba via kahama na hii T246 Dch jamaa gari zake zote engine scania body la kuchonga[emoji81][emoji38]Kuna ile moja namba zake sijui ila mwisho n BUL achana na hyo chuma kipindi hiko iko na bobdere bon upara,,yule mbwa alikua mchafu sana,,kigoma yake,bukoba yake,tabora yake,kyela yake,,alaf n masaa tuu sasa iv naona yupo kwenye d moja sijajua n ya wap
Wanafanya hivyo ili ulipie zaidi.yaani tangu wakati huo mimi huenda stand tu. nitakalokuta ndilo napanda.....na sasa hivi kuna mtindo wa hovyo sana unakwenda siku mbili kabla ya safari, unaonyeshwa chat imejaa. siku ya safari ukifika unakuta wanapiga debe basi hilo hilo liko wazi. Niliwahi kufanyiwa hivyo na kimbinyiko dodoma, ikanichefua moja kwa moja.
Juzi nikiwa natafuta usafiri wa kwenda mbeya, ofisi ya sauli urafiki wamenifanyia hivyo hivyo. Nilimkuta dada mmoja ana sura kama jembe, sina hamu na mabasi ya Sauli
Anaielewa majinja vizuri.😳Kuna nn tena
[emoji38][emoji81][emoji1787][emoji1787] aisee hiii ndo kali sana mabus yenye mabodi ya kuchongea ni maumivu ukipanda panda na first aid kit na mwamvuliAllys enzi zile mafuso ndo yanafungwa bodi za bus. Dar mwanza tuliingia saa kumi jion ilikuwa haigusi aridh, haipunguzi kwenye bamz mbaya zaid nlikaa siti za nyuma tumemaliza kunywa chai dodoma mida ya saa tano kama sikosei tukaanza safari bado sijafunga mkanda, ilipita bamz moja nikajipiga kichwa kwenye keria nikatobolewa na chuma kichwani
Khaa 🙌 aisee...siyo gari Ile 🙄Anaielewa majinja vizuri.
Kwaiyo pesa yako ikaenda bure mkuuu[emoji52]Dar Lux...good halipo.
Lakini pia hata ABC kutokea Dodoma kuja Dar mwezi wa nne nilitendwa vibaya sana. Nilikuwa wilaya ya jirani kwa shughuli binafsi. Nikawapigia simu alhamisi wanipe nafasi ya jmosi. Wakanipa numbe ya kulipa ya voda, iliyosajiliwa kwa jina la somebody Ngairo or ngajiro, nikalipa. Nikamwagiza kijana wangu akachukue ticket. Nilipofika dodoma usiku wa ijumaa nikaona ticket imeandikwa kusafiri siku hiyo ya ijumaa.
Nilipowafuata jumamosi alfajiri maana ilikuwa nisafiri saa 12, nilipata majibu ya hovyo sikutegemea. Nilijaribu kuchat na dada/mama supervisor wa ABC Dodoma, I must say ni wa hovyo kupindukia. Niliamua kuondoka ofisi kwao area c mpaka nanenane nikapanda basi la BM.
Sijawahi ipanda kabisaRungwe, basi la hovyo hovyo.
Mmmh jamani beautiful love ulipanda Rungwe ulikuwa unaenda wapi? Usijekuta ww ni homegel wangu wallah!Rungwe, basi la hovyo hovyo.
Allys enzi zile mafuso ndo yanafungwa bodi za bus. Dar mwanza tuliingia saa kumi jion ilikuwa haigusi aridh, haipunguzi kwenye bamz mbaya zaid nlikaa siti za nyuma tumemaliza kunywa chai dodoma mida ya saa tano kama sikosei tukaanza safari bado sijafunga mkanda, ilipita bamz moja nikajipiga kichwa kwenye keria nikatobolewa na chuma kichwani
Usijaribu, ni hovyo sana.Sijawahi ipanda kabisa
Nilikua natoka Dar-IringaMmmh jamani beautiful love ulipanda Rungwe ulikuwa unaenda wapi? Usijekuta ww ni homegel wangu wallah!
Vip upo poa lakini mama?
Ila muda mwingne kama mfuko unasoma bora kupanda mwewe tu, mabus mengi mizinguo.Haswaaa! Saiv mambo yamebadilika hatuangalii bora safari kufika mapema comfotability nayo ni muhimu unapanda bus ukifika lazima utafute panadol ilipo na ukandwe na maji ya moto.
🤣🤣🤣 Mwendokas au?Usijaribu, ni hovyo sana.