Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

Dar lux imeshapoteana kiongozi basi lamwisho liliangua lilikuwa DRR wanazi waliliita yatima, kampuni tanzu Tanzanite ametoka kwenye ramani pia

Tanzanite mbona bado zipo za kahama
 
Miaka hii kuna ushindani mkubwa na uwekezaji kwenye nyanja ya usafirishaji kila mtu anakuja na vitu vya hatari aisee.
 
Vitu laini toka Ipogolo Iringa kwenda Lulanzi kololo pia Coastline ya Arusha Mpanda. Sio kwa mbio zile, tulifika Dodoma saa 4 asubuhi tukitokea Arusha tena tumetumia njia ya kupita Mnyara kule then Manyoni hadi Dom.
 
Back
Top Bottom