Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Niliwahi lipanda lilikuwa vizuri ila mwendo wa kobeKwanini saibaba halijatajwa dar arusha sio poa bora uondoke by ngondi
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwahi lipanda lilikuwa vizuri ila mwendo wa kobeKwanini saibaba halijatajwa dar arusha sio poa bora uondoke by ngondi
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
[emoji3]pole mkuu, mimi mpaka leo hata kama naenda Moro kutokea Dar natamanigi nikakate tiketi hata siku mbili kabla ofisini kwao kabisa sipendi usumbufu usumbufu. Nishawahi simama hadi Chalinze Hood hiyo imeshona kama daladala. Ile safari niliichukia vibaya mno!!Nilijuta kupandia njiani fikoshi ya mwanza-mbeya via dodoma mtera then iringa wale ubishi wangu tu niliambiwa nikalale singida mjiji magari ndio rahisi naamka naondoka nalo tu nikajikuta ninja nipandie misigiri la saa 5 linalotoka mwanza weeeeh[emoji23][emoji23] wale wapiga debe washenzi sana wanakwambia gari ina siti kumbe imeshashona hadi kati kati alafu ndo lina 3x2 seats bus lote lina vibrate body la kuunda injini scania kiufupi yalikuwa mateso uwezi amini nilikalia ndoo nikichoka nasimama nimekuja kupata siti dom
Kisasa pale nili apia siji kukata ticket kwa wapiga debe.
[emoji1787]Kuna takataka inaitwa tunda na turu mbeya via singida bariadi usijaribu kwanza Kama hujui kisukuma huko utakoma kwenye hio gari mtu kutema mate na makamasi ni kawaida ndani ya gari
Ndy mkuu na bado dereva alikua anakimbiza balaaDuuu [emoji16] haya mabas watu wana yavumilia tu
[emoji3]pole mkuu, mimi mpaka leo hata kama naenda Moro kutokea Dar natamanigi nikakate tiketi hata siku mbili kabla ofisini kwao kabisa sipendi usumbufu usumbufu. Nishawahi simama hadi Chalinze Hood hiyo imeshona kama daladala. Ile safari niliichukia vibaya mno!!
Kuna takataka inaitwa tunda na turu mbeya via singida bariadi usijaribu kwanza Kama hujui kisukuma huko utakoma kwenye hio gari mtu kutema mate na makamasi ni kawaida ndani ya gari
Kamuuzia au kaingia na libanika transIpo wap? Hizo picha tu hakuna dar lux kwasasa...zaidi miaka 2watu wanasambazaga picha za hizi gari mpya lkn hazipo.
Kampuni imekufa akaamua kuja kwa jina la tanzanite nayo imekufa
Mnafika mwanz mchana na wkt safari mmeanza saa 12asb.Nzega coach
Sema enzi zake yalibamba sana hayo mabusMuhammed trans hivi mmiliki alikua nanii, mana na kilogo Cha MeLT kilikuepo
Kuna rafiki yangu nae alifanyiwa hivyo na kampuni nyingine lakini, alikuwa anashukia njiani. Alivyofika hakuona begi, alikataa kushuka akaenda nao mpk mwisho wa safari. Kumbe wakati wamesimama kula, makondakta walibadilisha baadhi ya mizigo kwenye gari yao nyingine. Alikuja kulipata begi lake kwenye bus jingine baada mizigo yote kushushwa na begi likakosa mtu.Hapana sio wapiga debe
wale ni makondakta kabisa
coz Jamaa aliwaambia waangalie kwenye cctv zao
wakagoma kabisa!
Kuna rafiki yangu nae alifanyiwa hivyo na kampuni nyingine lakini, alikuwa anashukia njiani. Alivyofika hakuona begi, alikataa kushuka akaenda nao mpk mwisho wa safari. Kumbe wakati wamesimama kula, makondakta walibadilisha baadhi ya mizigo kwenye gari yao nyingine. Alikuja kulipata begi lake kwenye bus jingine baada mizigo yote kushushwa na begi likakosa mtu.
Dar lux imeshapoteana kiongozi basi lamwisho liliangua lilikuwa DRR wanazi waliliita yatima, kampuni tanzu Tanzanite ametoka kwenye ramani piaDar express ndo yupo hoi ila dar lux alipotea kipindi fulani amerudi tena na vyuma vipya.
Singida kuna kona ya Mohammed, jamaa alichinja aiseeGari la zamani sana hilo lilichinja watu kinoma
Watoto waligawana mari ndio kina kapricon, mberesero na kimotcoImeshakufa hii kampuni bhana
City boys hiyoIvi kisbo sindo ili gali kipindi cha nyuma walikuwaga wakikutana salamu yao wanapishana wakulia anahamia kushoto kushoto anahamia kulia sasa siku moja akatokea alikuwa dereva ni mgeni hajui salamu za wenzie.
Jamaa kukalibiana dereva mzoefu akampigia..
Pass wapishane kama salamu yao ilivo kawaida yule dereva mgeni akaludisha pass akajua anasalimiwa maana kampuni ni moja kusalimiana muhimu sasa maana ya pass kwao ilikuwa wanamaanisha wa exchange njiaa dereva mzoefu akalileta kama kawa jamaa walikutana uso kwa uso babaaake jina la hii kampuni zamani sijui lilikuwa linaitwaje baada ya kukaa mda mrefu ndo wakabadili usajili wa jina wakaja na hii kisbo.