Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

Nilijuta kupandia njiani fikoshi ya mwanza-mbeya via dodoma mtera then iringa wale ubishi wangu tu niliambiwa nikalale singida mjiji magari ndio rahisi naamka naondoka nalo tu nikajikuta ninja nipandie misigiri la saa 5 linalotoka mwanza weeeeh[emoji23][emoji23] wale wapiga debe washenzi sana wanakwambia gari ina siti kumbe imeshashona hadi kati kati alafu ndo lina 3x2 seats bus lote lina vibrate body la kuunda injini scania kiufupi yalikuwa mateso uwezi amini nilikalia ndoo nikichoka nasimama nimekuja kupata siti dom
Kisasa pale nili apia siji kukata ticket kwa wapiga debe.
[emoji3]pole mkuu, mimi mpaka leo hata kama naenda Moro kutokea Dar natamanigi nikakate tiketi hata siku mbili kabla ofisini kwao kabisa sipendi usumbufu usumbufu. Nishawahi simama hadi Chalinze Hood hiyo imeshona kama daladala. Ile safari niliichukia vibaya mno!!
 
[emoji3]pole mkuu, mimi mpaka leo hata kama naenda Moro kutokea Dar natamanigi nikakate tiketi hata siku mbili kabla ofisini kwao kabisa sipendi usumbufu usumbufu. Nishawahi simama hadi Chalinze Hood hiyo imeshona kama daladala. Ile safari niliichukia vibaya mno!!

[emoji28][emoji23] hiyo kampuni haipo siku hizi aisee
 
  • Thanks
Reactions: Gru
Hapana sio wapiga debe
wale ni makondakta kabisa
coz Jamaa aliwaambia waangalie kwenye cctv zao
wakagoma kabisa!
Kuna rafiki yangu nae alifanyiwa hivyo na kampuni nyingine lakini, alikuwa anashukia njiani. Alivyofika hakuona begi, alikataa kushuka akaenda nao mpk mwisho wa safari. Kumbe wakati wamesimama kula, makondakta walibadilisha baadhi ya mizigo kwenye gari yao nyingine. Alikuja kulipata begi lake kwenye bus jingine baada mizigo yote kushushwa na begi likakosa mtu.
 
Kuna rafiki yangu nae alifanyiwa hivyo na kampuni nyingine lakini, alikuwa anashukia njiani. Alivyofika hakuona begi, alikataa kushuka akaenda nao mpk mwisho wa safari. Kumbe wakati wamesimama kula, makondakta walibadilisha baadhi ya mizigo kwenye gari yao nyingine. Alikuja kulipata begi lake kwenye bus jingine baada mizigo yote kushushwa na begi likakosa mtu.

Huyo rafiki yangu nae alienda hadi mwisho (Mwanza) buses zote mbili zikafika wakashusha mizigo yote ila hakuna begi
akawaambia kwanini msitazame cctv muone?
Ila wakagoma kabisa
Ni tafasiri gani inakuja hapo juu ya uhusika wao?
 
Ivi kisbo sindo ili gali kipindi cha nyuma walikuwaga wakikutana salamu yao wanapishana wakulia anahamia kushoto kushoto anahamia kulia sasa siku moja akatokea alikuwa dereva ni mgeni hajui salamu za wenzie.

Jamaa kukalibiana dereva mzoefu akampigia..
Pass wapishane kama salamu yao ilivo kawaida yule dereva mgeni akaludisha pass akajua anasalimiwa maana kampuni ni moja kusalimiana muhimu sasa maana ya pass kwao ilikuwa wanamaanisha wa exchange njiaa dereva mzoefu akalileta kama kawa jamaa walikutana uso kwa uso babaaake jina la hii kampuni zamani sijui lilikuwa linaitwaje baada ya kukaa mda mrefu ndo wakabadili usajili wa jina wakaja na hii kisbo.
City boys hiyo
 
Back
Top Bottom