Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 1,775
- 3,593
kaka nielewe garizi meuzwa zote hadi office shekilango imeuzwa kwa happy nation.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaka nielewe garizi meuzwa zote hadi office shekilango imeuzwa kwa happy nation.
gari tatu zipo bandari kavu hajazitoa mpaka kesho zizopo kauzwa nyingine aliuza kwa mnada kama scrapAnavyo vipya nae kaingia kwenye michina
ziko bandari kavu hadi leoDar lux hana higer, higer ya mwisho ilikua drr ilitupwa chini baada ya ajari.
Alileta climber mbili, hadi sasa hatujui zilipotelea wapi ni miezi na miezi. Au unazungumzia dar lux yupi?
amewahi kumiliki irizar namba BVZ akamuuzia NBSDar lux hajawai kua na gari tofauti na chassis za kichina
alianza biashara na scania irizar F270 akamuuzia NBS wa taboraUsiongee kitu usichokifahamu huyo lux ni mtu wa michina tupu toka anaanza
Hao sio wapiga debe kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
Dar Lux hatarudiDar express ndo yupo hoi ila dar lux alipotea kipindi fulani amerudi tena na vyuma vipya.
Labda kama huna harakaHio bus ni noma mzeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] swanga-dar naona kama ndo lipo fresh
JVC Dar Moshi wapuuzi sana wale jamaa. Ile no daladala sio basiBasi gani umewahi kupanda na ukajutia safari yako.
Labda kama huna haraka
[emoji23][emoji23][emoji23] mimi kingewaka maana ningeenda kuwafungulia kesi