Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣[emoji23][emoji1787][emoji38][emoji16][emoji119]
Imeshakufa hii kampuni bhanaNGORIKA
Dar Express nilimpa heko sana na zile Marcopolo zake ama kweli mambo mazuri yalikuwa zamaniDar express ndo yupo hoi ila dar lux alipotea kipindi fulani amerudi tena na vyuma vipya.
Nilikata Princess Muro luxury full kiyoyozi wahuni wakanifaulisha kwenye NGANGA qumamake madalali wa stend kuu wanaojifanya makondakta pale mbeya mfe kesho umbwa nyie
NGANGA vioo havifunguki Wala havifungi km vimepigwa supagluu mvua ikinyesha mnanyeshewa gari linavuja nilijuta kupanda ile gari
sio metl ni MTL mohamed trans limitedMuhammed trans hivi mmiliki alikua nanii, mana na kilogo Cha MeLT kilikuepo
hakuna dar lux tena mkuuDar express ndo yupo hoi ila dar lux alipotea kipindi fulani amerudi tena na vyuma vipya.
scania 114-380 iyo ndio mlio wake craw craw craw craw swiiiiiiiMajinja.....linalia ndo ndo ndo ndooooo....dar tulifika saa6 usiku
🤣🤣🤣scania 114-380 iyo ndio mlio wake craw craw craw craw swiiiiiii
Pale mbeya nimepangaa siku nikienda tena nikipataa hao wapumbavu wanajidai kunidirect lwenye Gari flani nitamtukanaaa mtu balaaaa..Nilikata Princess Muro luxury full kiyoyozi wahuni wakanifaulisha kwenye NGANGA qumamake madalali wa stend kuu wanaojifanya makondakta pale mbeya mfe kesho umbwa nyie
NGANGA vioo havifunguki Wala havifungi km vimepigwa supagluu mvua ikinyesha mnanyeshewa gari linavuja nilijuta kupanda ile gari
Gar zake mpya anaziitaje?Dar express ndo yupo hoi ila dar lux alipotea kipindi fulani amerudi tena na vyuma vipya.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ilo kiazi ndo nalifahamu ukipanda linakunywa maji haliivi
[emoji23][emoji23][emoji23]Majinja.....linalia ndo ndo ndo ndooooo....dar tulifika saa6 usiku