Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

Nilikata Princess Muro luxury full kiyoyozi wahuni wakanifaulisha kwenye NGANGA qumamake madalali wa stend kuu wanaojifanya makondakta pale mbeya mfe kesho umbwa nyie

NGANGA vioo havifunguki Wala havifungi km vimepigwa supagluu mvua ikinyesha mnanyeshewa gari linavuja nilijuta kupanda ile gari
 
Nilikata Princess Muro luxury full kiyoyozi wahuni wakanifaulisha kwenye NGANGA qumamake madalali wa stend kuu wanaojifanya makondakta pale mbeya mfe kesho umbwa nyie

NGANGA vioo havifunguki Wala havifungi km vimepigwa supagluu mvua ikinyesha mnanyeshewa gari linavuja nilijuta kupanda ile gari

[emoji23][emoji1787][emoji38][emoji16][emoji23] [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Dar Express nilimpa heko sana na zile Marcopolo zake ama kweli mambo mazuri yalikuwa zamani

Nimesahau Dar express saivi ameingia kwenye michina zonghtong marcopolo maji marefu kule anazo mpya zinaenda mombasa
 
Nilikata Princess Muro luxury full kiyoyozi wahuni wakanifaulisha kwenye NGANGA qumamake madalali wa stend kuu wanaojifanya makondakta pale mbeya mfe kesho umbwa nyie

NGANGA vioo havifunguki Wala havifungi km vimepigwa supagluu mvua ikinyesha mnanyeshewa gari linavuja nilijuta kupanda ile gari
Pale mbeya nimepangaa siku nikienda tena nikipataa hao wapumbavu wanajidai kunidirect lwenye Gari flani nitamtukanaaa mtu balaaaa..
 
Back
Top Bottom