Ni basi lipi 'luxury' kwa safari za Mbeya?

Ni basi lipi 'luxury' kwa safari za Mbeya?

NB dar lux na sauli nauli 44k


Nami ningependa kujua Bus Luxury safi ya Dar - Musoma iliyotulia na pia ni mzuri nikijua nauli zake na muda wa kufika Musoma kwani nasikia zingine lazima ulale njiani Shinyanga au Mwanza?
 
Nami ningependa kujua Bus Luxury safi ya Dar - Musoma iliyotulia na pia ni mzuri nikijua nauli zake na muda wa kufika Musoma kwani nasikia zingine lazima ulale njiani Shinyanga au Mwanza?
jm luxury..
 
Habari

Guys kwa mtu yeyote anaejua magari mazuri ya kusafiria safari za mkoani especially mbeya aniambie Luxury Bus
kama kuna sehem za kuchaji ikiwezekana ..kwa anaejua au amesikia ni bus zuri aseme.

Thanks in advance.

NB:If you have negative minded don't reply.
Ndege hupendi? Tungekukatia.
 
Back
Top Bottom