toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,721
Wakuu ni biashara gani ndogo yenye mtaji kuanzia 30k mpaka 100k anayoweza kufanya mwanachuo na ikampa kipato??
Napata shida nawaza nijiingize kwenye shughuli gani nipate kipato??
Sent using Jamii Forums mobile app
Napata shida nawaza nijiingize kwenye shughuli gani nipate kipato??
Sent using Jamii Forums mobile app