Ni biashara gani ndugu zangu inaweza kuniingizia elfu saba kwa siku?

Vijana kata K wana shida hawa.

Uwezo wako wa kifikiri ni mdogo sana ata wa kureason pia utakua mdogo sina shaka.

Wewe unaamini kila palipo na mkusanyiko ni fursa utafeli sana kama ndo ivi Tz tunasafari ndefu sana
 
Nipe Mawasiliano mkuu ya huko Tandika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda lumumba kajiandikishe kusifia fisiemu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…