viatu vya kike vya kichina,(simple shoes na slipers)100000 - 500000
Jinsi faida inavyozidi kuwa kubwa ndio jinsi marketing kubwa inahitajika, na mpaka unakuja kuuliza hili swali pengine huna hio skillset.Ni Biashara ipi inayopatikana kariakoo ina faida kubwa kwa mfanyabiashara mdogo mwenye mtaji mdogo?
Mtaji wa laki moja hadi laki tano
Na ieleweke sio lazima biashara ya kuuza iwe kariakoo yawezekana kufanyika kariakoo au kwingine ila biashara ya manunuzi ndio lazima iwe kariakoo
Una moyo mzur hongeraviatu vya kike vya kichina,(simple shoes na slipers)
vyombo ya plastik vile vya kwenda kumwaga kuuza jero
vifaa ya cm earphone na macover
vitu vya madukan mfano mifuko super glue, viwembe, miswaki, dawa za mbu unaweza tafuta site ukamwaga.
ukipiga mara kadhaa ukazoeleka unaweza mpata boss akakupa sel ukauze na utapata kwa bei sawa na bure
kuna saa za mikononi pia unanunua moja 500 unaenda uza 1000 kwa mtaji huo anzia huko.
Saa na vifaa vya michezoJinsi faida inavyozidi kuwa kubwa ndio jinsi marketing kubwa inahitajika, na mpaka unakuja kuuliza hili swali pengine huna hio skillset.
Kuna watu wengi kariakoo Hata mitaji hawana na wanalaza mpaka laki kwa siku.
Wewe una uzoefu na biashara gani?
Sina uzoefu na Vifaa vya mchezo kama mipira ila jezi na saa ndio faida ni kubwa.Saa na vifaa vya michezo
Mipira na jezi
AsanteSina uzoefu na Vifaa vya mchezo kama mipira ila jezi na saa ndio faida ni kubwa.
-jezi zina grade kuanzia za chini ya 10,000 hadi 30,000 na kitu na watu Wengi sana hawajui kutambua, rahisi mtu kununua jezi ya 10,000 na kuuza 25,000 ila inahitaji marketing ya maana, watu wengi wanauza jezi na timu ni zile zile.
-Saa pia zina faida, ila kama unataka Faida ya maana consider kuagizishia mzigo wako mwenyewe. Alibaba saa buku mpaka buku mbili tu unapata, ambazo huku unauza bei nzuri
View attachment 2901880
Shukraniviatu vya kike vya kichina,(simple shoes na slipers)
vyombo ya plastik vile vya kwenda kumwaga kuuza jero
vifaa ya cm earphone na macover
vitu vya madukan mfano mifuko super glue, viwembe, miswaki, dawa za mbu unaweza tafuta site ukamwaga.
ukipiga mara kadhaa ukazoeleka unaweza mpata boss akakupa sel ukauze na utapata kwa bei sawa na bure
kuna saa za mikononi pia unanunua moja 500 unaenda uza 1000 kwa mtaji huo anzia huko.
mkija kuombwa matako mnalia lia sasa unataka biashara ya mtaji mdogo upate faida kubwa dah napata mashaka kama ni mwanaume anauliza hiviNi Biashara ipi inayopatikana kariakoo ina faida kubwa kwa mfanyabiashara mdogo mwenye mtaji mdogo?
Mtaji wa laki moja hadi laki tano.
Na ieleweke sio lazima biashara ya kuuza iwe kariakoo yawezekana kufanyika kariakoo au kwingine ila biashara ya manunuzi ndio lazima iwe kariakoo
Mkuu wanafanya nini hadi wanalaza laki kwa siku?Jinsi faida inavyozidi kuwa kubwa ndio jinsi marketing kubwa inahitajika, na mpaka unakuja kuuliza hili swali pengine huna hio skillset.
Kuna watu wengi kariakoo Hata mitaji hawana na wanalaza mpaka laki kwa siku.
Wewe una uzoefu na biashara gani?
Siogopi kupigwa ban ila wewe ni k*m@ kibuyu mkvndv kabisamkija kuombwa matako mnalia lia sasa unataka biashara ya mtaji mdogo upate faida kubwa dah napata mashaka kama ni mwanaume anauliza hivi
Kauze maji kwenye toroli au mifuko ya kutembeza,na kwanini unataka faida kubwa na mtajiwako mdogo bro?Ni Biashara ipi inayopatikana kariakoo ina faida kubwa kwa mfanyabiashara mdogo mwenye mtaji mdogo?
Mtaji wa laki moja hadi laki tano.
Na ieleweke sio lazima biashara ya kuuza iwe kariakoo yawezekana kufanyika kariakoo au kwingine ila biashara ya manunuzi ndio lazima iwe kariakoo
Aisee umechafukwa kweli kweliSiogopi kupigwa ban ila wewe ni k*m@ kibuyu mkvndv kabisa
Sipendi matusi ila wewe umenijaza hasira ms#nge wewe
Umeletwa nini hapa
Kvma wewe
Nenda kaolewe na ushoga wako