steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,175
- 1,588
Njoo nikuuzie simu kwa bei ya jumla nokia 105 ukauze upate ukichukua dukani tsh 22000 pisi moja ukiagiza china na sisi tsh 17000Ni Biashara ipi inayopatikana kariakoo ina faida kubwa kwa mfanyabiashara mdogo mwenye mtaji mdogo?
Mtaji wa laki moja hadi laki tano.
Na ieleweke sio lazima biashara ya kuuza iwe kariakoo yawezekana kufanyika kariakoo au kwingine ila biashara ya manunuzi ndio lazima iwe kariakoo