steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,175
- 1,588
Njoo nikuuzie simu kwa bei ya jumla nokia 105 ukauze upate ukichukua dukani tsh 22000 pisi moja ukiagiza china na sisi tsh 17000Ni Biashara ipi inayopatikana kariakoo ina faida kubwa kwa mfanyabiashara mdogo mwenye mtaji mdogo?
Mtaji wa laki moja hadi laki tano.
Na ieleweke sio lazima biashara ya kuuza iwe kariakoo yawezekana kufanyika kariakoo au kwingine ila biashara ya manunuzi ndio lazima iwe kariakoo
kwa hyo kama hana uzoefu ndo asifanye hyo biashara.. ataanza na atapata uzoefu humo humo ama wewe ulizaliwa na uzoefu...?Jinsi faida inavyozidi kuwa kubwa ndio jinsi marketing kubwa inahitajika, na mpaka unakuja kuuliza hili swali pengine huna hio skillset.
Kuna watu wengi kariakoo Hata mitaji hawana na wanalaza mpaka laki kwa siku.
Wewe una uzoefu na biashara gani?
Na huo mtaji unakaa tu unakusubiri? Ama unafikiri mtaji unafanywa experiment?kwa hyo kama hana uzoefu ndo asifanye hyo biashara.. ataanza na atapata uzoefu humo humo ama wewe ulizaliwa na uzoefu...?
Hata mimi mpka nguvu sinaAisee umechafukwa kweli kweli
Kila biashara inalipa, inategemea utaifanyajeNi Biashara ipi inayopatikana kariakoo ina faida kubwa kwa mfanyabiashara mdogo mwenye mtaji mdogo?
Mtaji wa laki moja hadi laki tano.
Na ieleweke sio lazima biashara ya kuuza iwe kariakoo yawezekana kufanyika kariakoo au kwingine ila biashara ya manunuzi ndio lazima iwe kariakoo
Kariakoo hamna biashara ndogo, kizimba tu wauziwa milioni zaid ya kumi na hapo bado kodiNi Biashara ipi inayopatikana kariakoo ina faida kubwa kwa mfanyabiashara mdogo mwenye mtaji mdogo?
Mtaji wa laki moja hadi laki tano.
Na ieleweke sio lazima biashara ya kuuza iwe kariakoo yawezekana kufanyika kariakoo au kwingine ila biashara ya manunuzi ndio lazima iwe kariakoo
Chimbo liko wapi mkuu??Mkuu fanya biashara ya kuuza mikanda ya kuvaa wanaume,
Jumla unauziwa 1000@ kuanzia 10pcs ,then unaenda kuuza 3000@ ,hii ni chap sana muhimu uwe mchangamfu
Hujamuelewa mleta mada rudia kusoma uzi upya!Kariakoo hamna biashara ndogo, kizimba tu wauziwa milioni zaid ya kumi na hapo bado kodi
Japo ulimwelewesha vizuri Tu. Uelewa ni tatizo letu wabongo.nimekuambia ukweli mkuu huwezi kuwa mwanaume ukataka biashara yenye mtaji mdogo na faida kubwa hata unga hauko hivyo labda ujigeuze dada zetu wale ndio utatumia kamtaji kako kadogo upate faida kubwa wapo wanaoliwa hadi kwa 10m sasa kambususu kadogo tu faida kubwa ndio unachotaka ww.....
alafu usiogope ban jf sio chakula wala sio maji ukipigwa ban ingia kama guest tu
SIO KWELI, hata mimi nilikuwa nadhani ukiwa na mtaji mdogo huwez kupata faida kubwa lakin haipo hvyo!nimekuambia ukweli mkuu huwezi kuwa mwanaume ukataka biashara yenye mtaji mdogo na faida kubwa hata unga hauko hivyo labda ujigeuze dada zetu wale ndio utatumia kamtaji kako kadogo upate faida kubwa wapo wanaoliwa hadi kwa 10m sasa kambususu kadogo tu faida kubwa ndio unachotaka ww.....
alafu usiogope ban jf sio chakula wala sio maji ukipigwa ban ingia kama guest tu