makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Ewaa.. Kwa kuwa unafahamu zote, kwako ipi ni nzuri zaidi?Mimi nazifahamu hizo Bima zote na nipo Geita hospitali ambayo ina Gym na physiotherapy service,nna fahamu strengths na weaknesses ya hizo bima
Hivi huu utopolo wa lazima.lwa skku ukienda utibiw mara moja.mfano unahitaji huduma mbili mfano umeshatibiwa hospital A unahitaji labda dentist ambayo inabid uende hospital B na authorised ni moja inakua vip?Nhif wana portal yao ambapo ukiomba authorization moja, ndio hiyo hiyo ndani ya masaa 24 huwezi kupata kibali kingine labda iwe emergence case.
Nssf hawana utaratibu wa system lkn nao taratibu zao zipo hivyo, pia nssf unaruhusiwa kupata matibabu ndani ya hospitali moja tu ambayo utakuwa umechagua mwenyewe na ikitokea unataka kutibiwa sehemu tofauti lazima ukaombe kibali kwao.
Mimi ni mtumiaji wa hizi bima mbili kwa mda mrefu
Gharama yake ikoje hiki kifurushi?
sawa shukrani mkuu nimeona hapo gharama zimeandikwa ila sijaelewa hizo gharama ni kwa mwaka au kwa mwezi?
Ni kwa mwakasawa shukrani mkuu nimeona hapo gharama zimeandikwa ila sijaelewa hizo gharama ni kwa mwaka au kwa mwezi?
🤣🤣🤣 Unatamani ulazwe tena?Nimewahi kutumia Assemble wakati ikiitwa AAR, nililazwa Bugando aisee ilikuwa burudani, bima ilikuwa inacover hadi misosi. Ulikuwa ni mwendo wa kuku na sato.
Hilo jambo ndilo lina disqualify hii BimaKama unataka mkatia mzazi hasa aged mkatie bima ya NHIF kifurushi cha NAJARI kitampa uwezo wa kupata dawa zote na vipimo muhimu na baadhi ya upasuaji
Premium ya 40m ni uongo..unless kama una ushahidi basi weka
Nasikia Afya na AfyaPlus nafikiri ni 1m kwa 1.3m respectively kwa mtu mmoja,
Hio 40m ni benefits itakuwa
Hakuna bima isiyo na exclusionsHilo jambo ndilo lina disqualify hii Bima
hii mkuu unalipia shingapi kwa mwakaSTRATEGIS, inanipeleka mpaka INDIA nikiugua, nauli yakwenda na kurudi juu yao na million Moja na laki Tano kama fedha ya kujikimu unapatiwa. Unatibiwa hospital wanazotibiwa wabunge na wafanya biashara wakubwa.