Ni birthday yangu 50 years

Ni birthday yangu 50 years

Maisha ya kulea familia peke yako ni magumu madeni ni kitu hakiepukiki unakopa wee hadi ukifika mwisho wa mwezi unabaki mweupe. Jambo la kushukuru maisha yanakwenda hayagandi. Huwa nakosa majibu nikimuona baba Diamond anataka kutuzwa na kupendwa na mtoto aliemkataa. Nikikueleza maneno, kashfa, dharau za mtu niliezaa nae hutaamini kama ni binadamu wa kawaida. Kikubwa mimi binafsi nimemsamehe khs watoto nimewaeleza hawastahili kulipa kisasi kwani kisasi ni juu ya MUNGU sio wao. mioyoni mwao sijui wanawaza nini lakini kila wapoongea maneno ya chuki najaribu kuwarudisha kwenye mstari mengine nawaachia wao maana sitaishi milele wajibu wangu nimeutimiza kama mzazi. Kuhusu wanawake wanaopitia maisha kama yangu ushauri wasikate tamaa, watimize wajibu wao kadri wanavyoweza, kila kitu shida na raha vyote huwa vina mwisho wawe na furaha wajiepushe kuishi bila kufuatilia maisha ya watalaka/ EX wao watakuwa na amani kubwa.
Hbd Mama Kubwa Uishi Milele, Da nilitaka kukimbia na haka kadogodogo umetisha balaaa. Bora niendelee kuwa Sound master.
Umeishi miaka mingapi kama Single mother.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aunti yake niwe mkweli huku kitaa wanawake wegi ni woga kuishi maisha unayoishi ww sasa hv..wanagugumia tu...samahan unaweza kuwaambia nn wanawake wa namna hyo?i mean una neno gan zuri la kuwapa moyo..au unaweza kutupa abc ulipitia changamoto gan zaidi (thou zinajulikana)..
nataman iwepo sredi ya kupeana changamoto baada ya maisha ya ndoa (kwa watalaka au watalikiwa au waloamua kutengana!ila najua itavamiwa!(watakuja na maneno mke mjinga huvunja nyumb yKe kw mikono yake mwenyewe[emoji23][emoji23]epheww
Kama hutojali tafuta hii forum; "Talk about marriage" Talk About Marriage

Huko hakuna judgement kabisa, kuna topics za maisha baada ya divorce, jinsi ya kupitia kipindi kigumu baada ya kuachana, considering divorce, etc.
 
Hongera Mama Kubwa Mungu akupe maisha marefu ila nimependa jina lako 😛😛😛
 
Mahongera kama yote mama kubwa, na mapongezi ya kushanta kwako, kwa hangover ya 50 years under world, Mungu aendelee kulieka mbali file lako wala asiliweke mezani kwake. Harmonize hausike na lijimbo lake #Happybirthday, cheza cheza kidogo, kunywa juice ya buku. Nitalipa,
Back soon.
 
Back
Top Bottom