Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana mkuu kwa ushauri wakoMkuu ushauri tafuta wako mmoja mkali hapo wekeza-wekeza nguvu zako Sabu sio wewe pekee uliemuona hivo vishawishi vingi,wanawake wanashawishika kulingana na matamanio ya kila mmoja(matamanio hayafanani)-mpatie kila kitu akija kwenye ndoa au akikuzalia masharti hupungua unakula Bata ukila dagaa au mchicha nae atakula kikubwa mtunzie heshma kwani atakuwa amehama Rika toka Rika la maonesho kuja rika la utekelezaji,ondoa hofu ndivo walivo,usiogope hasara ukijaribu watano utapata mmoja-kumbuka mwanamke Ni kiungo mhm katika family huwezi kwepa kuoa/kuolew labda uwe uwe na genetic barriers
Sasa huyo utakaemuoa atashuka kutoka mawinguni ama?, ndyo hawa hawa unaanza naye hadi unakuja muoa.Nitampa nitakae muoa.. Sio hawa wapita njia
Nomaa, unaibuka pm unakutana na kidume mimi😀😀Akili zako unazijua wewe tu🤣🤣🤣🤣🤣,jf Ni Kama gizani Totoro
Jamani umenichekesha😀😀, amekutana na kisanga gani aseeKuna mmoja humu ndani kapost Uzi kua anataka Ahasiwe/Watoe Mambupu/Vasectomy......Wanawake wa karne hii wamepindua Meza kibabe walahi
Yani hawa wanawake wa hii karne ya 21 ni kizazi cha nyoka kabisaKuna mmoja humu ndani kapost Uzi kua anataka Ahasiwe/Watoe Mambupu/Vasectomy......Wanawake wa karne hii wamepindua Meza kibabe walahi
Sawa ila kuna hao wa kijijini wakijanjaruka utajuta, labda ukaoe kijijini na uishi naye huko huko, ukija naye mjini mashababi watamuonesha utamu wa mji utalia.Nitaenda kuoa kijijini kwetu wapo wengi ambao cheap but beautiful 😀😀
Mmh maneno hayana staha haya nakuachia mwenyewe mkuu😏😏Hajapata wa kumpekecha chuchu na kupishanisha miguu huku akiisugua wakati wa mgegedo
Mmmh, hayaHajapata wa kumpekecha chuchu na kupishanisha miguu huku akiisugua wakati wa mgegedo,huku ulimi ukiwa masikioni
Mkuu chukua experienced people,jua unaanza maisha hivo chukua mwenye uzoefu,life is all about exposure-maarufu kiasi gani hapo utaenda mchakamchaka ndoa sio kugegeda tu usione mashirika yatangazapo kazi na sifa ya uzoefu ukaona wanabagua but wapo kwa immediate goalsSawa ila kuna hao wa kijijini wakijanjaruka utajuta, labda ukaoe kijijini na uishi naye huko huko, ukija naye mjini mashababi watamuonesha utamu wa mji utalia.
😀😀 eti mashababi umenichekesha sanaSawa ila kuna hao wa kijijini wakijanjaruka utajuta, labda ukaoe kijijini na uishi naye huko huko, ukija naye mjini mashababi watamuonesha utamu wa mji utalia.
Sijakuelewa hapo kwenye experienced people.. Una maanisha experience kwenye kupiga mizinga au kwenye niniMkuu chukua experienced people,jua unaanza maisha hivo chukua mwenye uzoefu,life is all about exposure-maarufu kiasi gani hapo utaenda mchakamchaka ndoa sio kugegeda tu usione mashirika yatangazapo kazi na sifa ya uzoefu ukaona wanabagua but wapo kwa immediate goals
Wife material huyo usimwache mkuu,yaani mtu unayempenda huwezi mpiga vizinga ni kama huruma inakujia hivi, ila wale wasumbufu na huna mpango nao ebana eeh unaanza asubuhi akikusalimia tu unamwambia huna hela ya breakfast, mchana unamwambia unataka kwenda saloon huna pesa, jioni tena dinner yaani dozi inaitwa kutwa mara 3 ,7 days a week😀😀 ( nimeongea tu sipo kwenye hili kundi please)😀😀 eti mashababi umenichekesha sana
Lakini inabidi nifate ushauri wako maana yupo manzi mmoja sio mzuri kivile lakini nachompendea hapigi mizinga... Nahisi huyo at least ana upendo wa kweli.. Maana anaonea huruma hela zangu