Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Wanasiasa waache kutumia lugha za kukariri kuwaambia vijana wajiajiri hafu hawana mtaji
kuna haja ya wafanyakazi wa Serikali kufanya kazi miaka 10 tu na baadaye watakuwa na mtaji wa kuja kujiajiri na kuajiri kundi kubwa la watu wasio na ajira
Badala ya kukaa miaka 30 au 40 kazini mwisho iwe miaka 10 tu unatoka kwenye mfumo wa ajira unaingia kwenye mfumo wa kuajiri
Sasa hii ya kuambiana kwamba vijana mjiajiri yaani wajiajiri vipi wakati hawana hata senti tano mfukoni
kuna haja ya wafanyakazi wa Serikali kufanya kazi miaka 10 tu na baadaye watakuwa na mtaji wa kuja kujiajiri na kuajiri kundi kubwa la watu wasio na ajira
Badala ya kukaa miaka 30 au 40 kazini mwisho iwe miaka 10 tu unatoka kwenye mfumo wa ajira unaingia kwenye mfumo wa kuajiri
Sasa hii ya kuambiana kwamba vijana mjiajiri yaani wajiajiri vipi wakati hawana hata senti tano mfukoni