Ni bora mwanaume anaekwenda kucheat na akarudi nyumbani. Kuliko mwanamke anayekufanyq ulee watoto ambao sio wako kwa maisha yako yote bila kujua

Ni bora mwanaume anaekwenda kucheat na akarudi nyumbani. Kuliko mwanamke anayekufanyq ulee watoto ambao sio wako kwa maisha yako yote bila kujua

Je ni bora kuishi na mwanaume mchepukaji ila anahudumia familia na kupenda mke wake


  • Total voters
    6

Livanga

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2010
Posts
470
Reaction score
148
This weekend nililetewa kesi moja ya mahusiano kuitatua. Wakati wa maongezo niligundia jambo ambalo lilinifanya niwaze na kujiuliza "Je si ni bora kuishi na mwanaume mchepukaji ila anahudimia familia yake kumjali, kumheshimu na kumpenda mke wake kuliko kuishi na mwanamke anayekufanya ulee watoto ambao sio wako kwa maisha yako yote bila wewe kujua?"

Katika hili nikajiuliza hivi maumivu anayoyapata mwanamke anapogundua kuwa mume wake anamcheate yana uzito sawa na maumivu anayoyapata mwanume anapogundua watoto anaowahudumia kwa nguvu zake zote na kuwajali sio wake?
 
Sisi wajaruo huwa tunaamini mtoto wa kuchepuka huwa anakuwa na akili na mafanikio zaidi kuliko watoto wa ndani ya ndoa....nadhani Imani hii inachangia wanawake kuzaa na michepuko!!!
 
Back
Top Bottom