Ni bora nife bila fedha ila sirudii kuoa mke mwenye elimu ya degree na muajiriwa

Ni bora nife bila fedha ila sirudii kuoa mke mwenye elimu ya degree na muajiriwa

Ukichagua kulima mbaazi wakati wa mavuno usitegemee kupata maharage.

KILA SIKU TUNAWASHAURI HAPA NDOA SIO YA KILA MTU, "MWANAUME KAMA HUJAJITAFUTA UKAJIPATA USIOE" TAFUTA KWA MALI.

UKIVUNJA HII SHERIA LAZIMA NDOA KWAKO IWE CHUNGU, NDOA ZA 50/50 NI ZA WANAUME WALIOKUBALI KUENDESHWA NA WANAWAKE, WANAUME WAVIVU WA MAISHA,WANAUME WALIOKUBALI KUSIKILIZA UPUMBAVU WA JAMII INAYOMZUNGUKA.

UNAOA HUNA HELA, MKE WAKO KIPATO CHAKE KIPO KARIBU NAWE AU ZAIDI YAKO. HAPO WEWE TAMBUA NDO UMEOLEWA.UTAENDESHWA KAMA GARI BOVU NA UTAKUFA NA MAUMIVU MAKALI SANA KWA UJINGA WAKO WA KUPINGANA NA KANUNI ZA MAISHA.

HAKI SAWA IMEIHARIBU HII DUNIA NDIO MAANA TAASISI YA FAMILIA IMELEGALEGA. WANAUME WENGI WAMEKOSA SAUTI NDANI YA NYUMBA ZAO KWASABABU HAWANA UCHUMI AU WANAZIDIWA UCHUMI NA WANAWAKE ZAO.

TAMBUA "MWANAMKE AKIKUZIDI AU MKILINGANA KAMWE HATAKUHESHIMU" HII NI KANUNI IAPPLY KOKOTE PALE KAZINI,NYUMBANI AU KWENYE JAMII.


MWANAMKE UTII WAKE UPO KWA KILICHOJUU YAKE/ KILICHOMZIDI!!!!

UKITAKA MAMLAKA YATAFUTE, MAMLAKA NI YA WAFALME, KUWA MFALME KWENYE HIMAYA YAKO ILI UFURAHIE HIMAYA ULIYOIANZISHA NA SI KUWA MTUMWA KWENYE HIMAYA YAKO HAYO NI MATUSI NA KUJIKOSEA HESHIMA.
 
Ni mke wako mkuu, ana mentality za kipumbavu..

Wapo walioajiriwa na ni wake za watu lkn wana utii wa hali ya juu kwa waume zao...

Mke hata kama awe hajaajiriwa, kama hana ile urge ya kujifeel good and proud anapomhudumia mume wake, basi utapata shida sana, atakuwa anaona kama kukupa heshima yako baba mjengo ni kero kwake.
Kweli kabisa, ila hizo tabia wanazilea wenyewe.
 
Kweli kabisa, ila hizo tabia wanazilea wenyewe.
Wazee wetu hawakuwaga wajinga kuoa wake wengi..

Yani walikuwa wanaoa hata wakiwa na miaka 60..

Ilikuwa mwanamke ukizingua anapiga chini anaangalia ustaarabu mwingine..
 
Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.

Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”

Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Kuna jamaa mmoja hivi tulikuwa naye chuoni akawa anadate mwanachuo mwenzetu wa kike.Baada ya kumaliza chuo walioana.mwanamke alijiendeleza na sasa ni dokta wa falsafa.Ndoa haikudumu.mwanamke kasepa kamwachia watoto mpaka leo hii.
 
Kuna jamaa mmoja hivi tulikuwa naye chuoni akawa anadate mwanachuo mwenzetu wa kike.Baada ya kumaliza chuo walioana.mwanamke alijiendeleza na sasa ni dokta wa falsafa.Ndoa haikudumu.mwanamke kasepa kamwachia watoto mpaka leo hii.
Hapo alichemsha kabisa hata kiumri hakua wife material kwake
 
Back
Top Bottom