Mke ni utelezi tu. Degree yake ni mbwembwe tu.Kwahiyo kwa kifupi unataka kijakazi na sio mke😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke ni utelezi tu. Degree yake ni mbwembwe tu.Kwahiyo kwa kifupi unataka kijakazi na sio mke😀
Hao sio wacha Mungu ni pretendersHao wacha Mungu si ndio haohao wanapigwa mikunyubenga na wachungaji wao!!
Kweli kabisa, ila hizo tabia wanazilea wenyewe.Ni mke wako mkuu, ana mentality za kipumbavu..
Wapo walioajiriwa na ni wake za watu lkn wana utii wa hali ya juu kwa waume zao...
Mke hata kama awe hajaajiriwa, kama hana ile urge ya kujifeel good and proud anapomhudumia mume wake, basi utapata shida sana, atakuwa anaona kama kukupa heshima yako baba mjengo ni kero kwake.
PointBasi usimsomeshe binti yako, mrahisishie mwamba atakayemuoa.
Tukate mzizi wa fitna.
Wazee wetu hawakuwaga wajinga kuoa wake wengi..Kweli kabisa, ila hizo tabia wanazilea wenyewe.
Siwezi kurudia hilo kosa mwanamke hawezi kua na two masters wawili.Ulifanya kosa kubwa sana kuoa mwanamke mwenye mshahara.
Points 3 na magoli 3 😂KATAA NDOA
Kuna jamaa mmoja hivi tulikuwa naye chuoni akawa anadate mwanachuo mwenzetu wa kike.Baada ya kumaliza chuo walioana.mwanamke alijiendeleza na sasa ni dokta wa falsafa.Ndoa haikudumu.mwanamke kasepa kamwachia watoto mpaka leo hii.Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.
Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”
Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Hapo alichemsha kabisa hata kiumri hakua wife material kwakeKuna jamaa mmoja hivi tulikuwa naye chuoni akawa anadate mwanachuo mwenzetu wa kike.Baada ya kumaliza chuo walioana.mwanamke alijiendeleza na sasa ni dokta wa falsafa.Ndoa haikudumu.mwanamke kasepa kamwachia watoto mpaka leo hii.