Ni Bora turudie mfumo wa chama kimoja tu (CCM) basi!

Ni Bora turudie mfumo wa chama kimoja tu (CCM) basi!

Mejasoko

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
298
Reaction score
600
Ni Bora tubakie na chama kimoja ili tupate umakini katika kuchagua aina ya viongozi, hii attention inayopewa mfumo wa vyama vingi, inaondoa mkazo kwenye kuchakata aina za viongozi tunaowachagua ushindani wa kweli inaweza kuwa na nguvu zaidi kwenye chama kimoja kuliko kingine, na pia hakutakua na kufumbiana fumbiana macho " funika kombe mwanaharamu apite" huyu ni wa chama changu au huyu mpinzani mwenzangu, jambo litakalokua na mashiko hapo ni huyu ni mzalendo, ana uwezo,Sifa, vigezo, weledi na utayari wa kutumika nchi? Wala sio mfumo wa Chawa na wafia chama kama ilivyokua Sasa
 
Ni Bora tubakie na chama kimoja ili tupate umakini katika kuchagua aina ya viongozi, hii attention inayopewa mfumo wa vyama vingi, inaondoa mkazo kwenye kuchakata aina za viongozi tunaowachagua ushindani wa kweli inaweza kuwa na nguvu zaidi kwenye chama kimoja kuliko kingine, na pia hakutakua na kufumbiana fumbiana macho " funika kombe mwanaharamu apite" huyu ni wa chama changu au huyu mpinzani mwenzangu, jambo litakalokua na mashiko hapo ni huyu ni mzalendo, ana uwezo,Sifa, vigezo, weledi na utayari wa kutumika nchi? Wala sio mfumo wa Chawa na wafia chama kama ilivyokua Sasa

..vyama vyote vifutwe, halafu tuunde chama kipya cha kitaifa.
 
Wabaki wao tu wala wasitushirikishe wananchi kwenye jambo lolote wao wateuane watenguane wauze nchi wafanye kama wanavyofanya sasa ili mradi wasiue watu, wasitese na kuumiza wenzetu. Siku tukiona kuna haja ya kuwabadilisha tunajua njia pekee ni kuingia msituni ndio pekee iliyobaki tutajiandaa kufanya hivyo tukishindwa basi tunaendelea na wanavyotaka. Kwa ufupi njia waliyotufundiaha ya wao kutundea haki ni kupitia manati za wazungu tu hakuna kingine.
 
Ni Bora tubakie na chama kimoja ili tupate umakini katika kuchagua aina ya viongozi, hii attention inayopewa mfumo wa vyama vingi, inaondoa mkazo kwenye kuchakata aina za viongozi tunaowachagua ushindani wa kweli inaweza kuwa na nguvu zaidi kwenye chama kimoja kuliko kingine, na pia hakutakua na kufumbiana fumbiana macho " funika kombe mwanaharamu apite" huyu ni wa chama changu au huyu mpinzani mwenzangu, jambo litakalokua na mashiko hapo ni huyu ni mzalendo, ana uwezo,Sifa, vigezo, weledi na utayari wa kutumika nchi? Wala sio mfumo wa Chawa na wafia chama kama ilivyokua Sasa
Yaani watu wote tuanze kufikiri kama wanachama wa CCM kwa zama hizi haitawezekana, yaani zidumi fijra za mtu mmoja?
 
Ni Bora tubakie na chama kimoja ili tupate umakini katika kuchagua aina ya viongozi, hii attention inayopewa mfumo wa vyama vingi, inaondoa mkazo kwenye kuchakata aina za viongozi tunaowachagua ushindani wa kweli inaweza kuwa na nguvu zaidi kwenye chama kimoja kuliko kingine, na pia hakutakua na kufumbiana fumbiana macho " funika kombe mwanaharamu apite" huyu ni wa chama changu au huyu mpinzani mwenzangu, jambo litakalokua na mashiko hapo ni huyu ni mzalendo, ana uwezo,Sifa, vigezo, weledi na utayari wa kutumika nchi? Wala sio mfumo wa Chawa na wafia chama kama ilivyokua Sasa
Support hata hivyo CCM ni chama aisee kunatoa viongozu wenye karma ya uongoziii
 
Ili tupate msaada lazima wazungu waone kuna upinzani. Ndiyo maana baada ya uchaguzi ule uliofanyika wakati wa mwenda zake kukataa wapinzani ilibidi wanunuliwe tu ili ionekane bungeni kuna wapinzani. itabidi tu chama tawala kiweke wapandikizi wake kuonekane kuna upinzani.
 
Ili tupate msaada lazima wazungu waone kuna upinzani. Ndiyo maana baada ya uchaguzi ule uliofanyika wakati wa mwenda zake kukataa wapinzani ilibidi wanunuliwe tu ili ionekane bungeni kuna wapinzani. itabidi tu chama tawala kiweke wapandikizi wake kuonekane kuna upinzani.
So huoni multi-partism inatumika na wazungu kupandikiza mercenaries (Mamluki) kwenye uendeshaji wa nchi kwa maslahi Yao, Neo- Colonialism hii ndio maana naona mfumo wa single party wa China upo sawa sana
 
Ni Bora tubakie na chama kimoja ili tupate umakini katika kuchagua aina ya viongozi, hii attention inayopewa mfumo wa vyama vingi, inaondoa mkazo kwenye kuchakata aina za viongozi tunaowachagua ushindani wa kweli inaweza kuwa na nguvu zaidi kwenye chama kimoja kuliko kingine, na pia hakutakua na kufumbiana fumbiana macho " funika kombe mwanaharamu apite" huyu ni wa chama changu au huyu mpinzani mwenzangu, jambo litakalokua na mashiko hapo ni huyu ni mzalendo, ana uwezo,Sifa, vigezo, weledi na utayari wa kutumika nchi? Wala sio mfumo wa Chawa na wafia chama kama ilivyokua Sasa
Bora iwe hivyo.
 
So huoni multi-partism inatumika na wazungu kupandikiza mercenaries (Mamluki) kwenye uendeshaji wa nchi kwa maslahi Yao, Neo- Colonialism hii ndio maana naona mfumo wa single party wa China upo sawa sana
China wenyewe wanakuja kuwaibia vipusa na madini halafu wapumbavu bado mnawashabikia.
 
So huoni multi-partism inatumika na wazungu kupandikiza mercenaries (Mamluki) kwenye uendeshaji wa nchi kwa maslahi Yao, Neo- Colonialism hii ndio maana naona mfumo wa single party wa China upo sawa sana
Ninakubaliana na wewe mkuu. Lakini hata tukiwa na chama kimoja, je tunaweza kukwepa neo collianism. Wachina wameweza kutokana na kuwa serious kwenye mambo yao. Sisi tunaendekeza mno uvivu, wizi, uasherati, uchawi na uchawa. Haya ndiyo magonjwa yetu ambayo yanatufanya tusipate maendeleo.
 
Haiwezekani
Ni Bora tubakie na chama kimoja ili tupate umakini katika kuchagua aina ya viongozi, hii attention inayopewa mfumo wa vyama vingi, inaondoa mkazo kwenye kuchakata aina za viongozi tunaowachagua ushindani wa kweli inaweza kuwa na nguvu zaidi kwenye chama kimoja kuliko kingine, na pia hakutakua na kufumbiana fumbiana macho " funika kombe mwanaharamu apite" huyu ni wa chama changu au huyu mpinzani mwenzangu, jambo litakalokua na mashiko hapo ni huyu ni mzalendo, ana uwezo,Sifa, vigezo, weledi na utayari wa kutumika nchi? Wala sio mfumo wa Chawa na wafia chama kama ilivyokua Sasa

Ni Bora tubakie na chama kimoja ili tupate umakini katika kuchagua aina ya viongozi, hii attention inayopewa mfumo wa vyama vingi, inaondoa mkazo kwenye kuchakata aina za viongozi tunaowachagua ushindani wa kweli inaweza kuwa na nguvu zaidi kwenye chama kimoja kuliko kingine, na pia hakutakua na kufumbiana fumbiana macho " funika kombe mwanaharamu apite" huyu ni wa chama changu au huyu mpinzani mwenzangu, jambo litakalokua na mashiko hapo ni huyu ni mzalendo, ana uwezo,Sifa, vigezo, weledi na utayari wa kutumika nchi? Wala sio mfumo wa Chawa na wafia chama kama ilivyokua Sasa
Haiwezekani kufutwa. Hii ilitokana na SAPs (Structural Adjustment Programmes). Poor countries accepted SAPs terms and conditions lengo wapate loans and grants..... Element mojawapo ilikuwa nchi hitaji ziruhusu mfumo wa siasa za vyama vingi. Rejea kuhusu tume iliyokuwa chini ya jaji Fransis Nyalali..... in 1990s. Pia malengo ya SAPs hayajatimia kikamilifu.
 
Ni Bora tubakie na chama kimoja ili tupate umakini katika kuchagua aina ya viongozi, hii attention inayopewa mfumo wa vyama vingi, inaondoa mkazo kwenye kuchakata aina za viongozi tunaowachagua ushindani wa kweli inaweza kuwa na nguvu zaidi kwenye chama kimoja kuliko kingine, na pia hakutakua na kufumbiana fumbiana macho " funika kombe mwanaharamu apite" huyu ni wa chama changu au huyu mpinzani mwenzangu, jambo litakalokua na mashiko hapo ni huyu ni mzalendo, ana uwezo,Sifa, vigezo, weledi na utayari wa kutumika nchi? Wala sio mfumo wa Chawa na wafia chama kama ilivyokua Sasa
Barikiwa sana Mejasoka kwa kuwatupa mkono hiyo jamii iliyokuwa sababu za umaskini wa taifa hili,hongera kwa kuungana na Captain Fire,Kadhi Mkuu1.Nawengine oneni haya mambo tulijenge taifa letu.Kwani ni letu sote.
 
Back
Top Bottom