Ni Bora turudie mfumo wa chama kimoja tu (CCM) basi!

Ni Bora turudie mfumo wa chama kimoja tu (CCM) basi!

Bora maana waliomba safari hii, wasijua kusoma, waliokesea kujaza fomu wa upande mmoja. Lakini cha ajabu na kushangaza matokeo haya ni sawa tuu 2019. Wakati mwaka huu wamesema democrasia imeshika kasi.
 
🤣🤣 ila CCM mbele kwa mbel cio
Wanaji mbele mbele kwa kuiba kura, kwa uchaguzi wa hila, (wa kitapeli), na kuumiza watu wengine hadi kupoteza uhai

Kigoma aliyeshinda wa ACT analazimishwa apewe kadi ya CCM
Wananchi inatakiwa wachague watu wanao waamini na kuwapenda na siyo vinginevyo

CCM wana mambo ya aibu sana na kufedhehesha,
 
Ninakubaliana na wewe mkuu. Lakini hata tukiwa na chama kimoja, je tunaweza kukwepa neo collianism. Wachina wameweza kutokana na kuwa serious kwenye mambo yao. Sisi tunaendekeza mno uvivu, wizi, uasherati, uchawi na uchawa. Haya ndiyo magonjwa yetu ambayo yanatufanya tusipate maendeleo.
Bora turudi mfumo wa chama kimoja hizi kadhia nyingine za watu kuumia na kupoteza maisha nyakati za chaguzi zipungue. Kiukweli hatuna ustaarahu na mfumo wa vyama vingi, ni mpaka tustaarabike kwanza.
 
Wanaji mbele mbele kwa kuiba kura, kwa uchaguzi wa hila, (wa kitapeli), na kuumiza watu wengine hadi kupoteza uhai

Kigoma aliyeshinda wa ACT analazimishwa apewe kadi ya CCM
Wananchi inatakiwa wachague watu wanao waamini na kuwapenda na siyo vinginevyo

CCM wana mambo ya aibu sana na kufedhehesha,
Tatizo ina watu wengi pia wanaohusika na zile kura ujue hawana vyama
 
Hahaha usikate tamaa mapema hivyo, we huoni vikundi vya kigaidi Syria wamechukua nchi?

Twende nao hivi hivi iko siku nasi tutafika.
 
Ni Bora tubakie na chama kimoja ili tupate umakini katika kuchagua aina ya viongozi, hii attention inayopewa mfumo wa vyama vingi, inaondoa mkazo kwenye kuchakata aina za viongozi tunaowachagua ushindani wa kweli inaweza kuwa na nguvu zaidi kwenye chama kimoja kuliko kingine, na pia hakutakua na kufumbiana fumbiana macho " funika kombe mwanaharamu apite" huyu ni wa chama changu au huyu mpinzani mwenzangu, jambo litakalokua na mashiko hapo ni huyu ni mzalendo, ana uwezo,Sifa, vigezo, weledi na utayari wa kutumika nchi? Wala sio mfumo wa Chawa na wafia chama kama ilivyokua Sasa
Tatizo hicho chama kimoja mnacholazimisha hakitakiwi na wananchi wengi hasa vijana. Kwanini humo ndani ya hicho chama kimoja msichague viongozi wanaotakiwa na wengi, au kwakuwa mnashindana na upinzani inabidi mchague viongozi wabovu?!
 
So huoni multi-partism inatumika na wazungu kupandikiza mercenaries (Mamluki) kwenye uendeshaji wa nchi kwa maslahi Yao, Neo- Colonialism hii ndio maana naona mfumo wa single party wa China upo sawa sana
Ww lazima utakuwa ni mzee, wazee ndio huwa wana porojo hizi. Hapa Tanzania mikataba yote ya raslimali imeingiwa na chama kimoja bila kujali hao wapinzani. Najiuliza wazungu wanakosa nini hapa nchini hadi wahitaji hao mercenaries?

Kuwa wazi tu uona aibu jinsi ccm inavyonajisi uchaguzi kwa kushindwa kushindana, sasa unatamani kibaki chenyewe kuepuka aibu ya kushindwa kwenye box la kura.
 
Tatizo ina watu wengi pia wanaohusika na zile kura ujue hawana vyama
Hapo ndipo neno la uchafuzi huru lina wakilisha vizuri sura hiyo badala ya kuitwa uchaguzi huru, uchaguzi huru VS uchafuzi huru.
Hitimisho, Tanzania hakuna uchaguzi huru
 
Ni Bora tubakie na chama kimoja ili tupate umakini katika kuchagua aina ya viongozi, hii attention inayopewa mfumo wa vyama vingi, inaondoa mkazo kwenye kuchakata aina za viongozi tunaowachagua ushindani wa kweli inaweza kuwa na nguvu zaidi kwenye chama kimoja kuliko kingine, na pia hakutakua na kufumbiana fumbiana macho " funika kombe mwanaharamu apite" huyu ni wa chama changu au huyu mpinzani mwenzangu, jambo litakalokua na mashiko hapo ni huyu ni mzalendo, ana uwezo,Sifa, vigezo, weledi na utayari wa kutumika nchi? Wala sio mfumo wa Chawa na wafia chama kama ilivyokua Sasa
Haya yote yanasababishwa na hawo watowa misaada wanataka tuwe na mfumo wa vyama vingi ili watupe misaada lakini hawaaainishi ni upinzani upi wanataka ili watowe misaada yao hapo ndio ccm wanapatumia kuweka mapandikizi ya vyama kuwahadaa watowa misaada
 
Ww lazima utakuwa ni mzee, wazee ndio huwa wana porojo hizi. Hapa Tanzania mikataba yote ya raslimali imeingiwa na chama kimoja bila kujali hao wapinzani. Najiuliza wazungu wanakosa nini hapa nchini hadi wahitaji hao mercenaries?

Kuwa wazi tu uona aibu jinsi ccm inavyonajisi uchaguzi kwa kushindwa kushindana, sasa unatamani kibaki chenyewe kuepuka aibu ya kushindwa kwenye box la kura.
Huo ni mtazamo wako brother, ila hujanielewa kabisa nilichokimaanisha
 
Back
Top Bottom