Ni bora wanyama wauzwe wote ili wenzetu wamasai wawe salama!

Ni bora wanyama wauzwe wote ili wenzetu wamasai wawe salama!

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Kuna faida gani sisi kuwa na wanyama pori ambapo wanasababisha mateso na hata vifo Kwa binadamu wenzetu?

Tunaiomba wizara husika, iendelee na mpango wa kuwauza na kusafirisha wanyama wetu kwenda huko wanakohitajika ili tu sisi tuwe salama!

Kwanza, tangu nimezaliwa sijawahi hata Kuonja utamu wa nyama ya twiga, na sidhani iwapo nitakuja Kuonja hii ladha ya nyama hiyo

Sasa, hawa wanyama wanafaida gani kubwa zaidi yenye kushinda uwepo wa mwanadamu?

Fedha...! Au siyo?

Hata hivyo, tumewahi kujiuliza, nchi ambazo hazina hifadhi za wanyama, wanapata wapi mapato ya kuwezesha nchi zao ziwe na maendeleo?

Kwa nini wanyama wawe bora zaidi kuliko mwanadamu mwenye thamani kubwa mbele za muumbaji!

Hao jamaa baada ya kusitishiwa kuuziwa wanyama ndio hiki kimezaliwa kuleta mateso Kwa binadamu?

Tafadhali bhana, wauzieni wanachokitaka bhana, amani yetu watuachie
 
Wanyama wasiuzwe ,
Na Wamasai wasiondoke

Inakuaje Mzanzibar aamue kuhusu Bara
 
Usiombe yakukute, Mungu ni mwema siku zote. .
 
Waondoke huko kwanza wanaishi maisha magumu sana!! Waje mijini huku wajichanganya na watu waacha kuwa mali asili!!

Tanzania inataka kuwakomboa kutoka kuwa mali asili kuwa watu waliostaraabika!! Wapende wasipende lazima walazimishiwe ustaraabu🤣🤣🤣🤣
 
Waondoke huko kwanza wanaishi maisha magumu sana!! Waje mijini huku wajichanganya na watu waacha kuwa mali asili!!

Tanzania inataka kuwakomboa kutoka kuwa mali asili kuwa watu waliostaraabika!! Wapende wasipende lazima walazimishiwe ustaraabu🤣🤣🤣🤣
Kuwa mtu wa mjini ndiyo kustaarabika?
 
Waondoke huko kwanza wanaishi maisha magumu sana!! Waje mijini huku wajichanganya na watu waacha kuwa mali asili!!

Tanzania inataka kuwakomboa kutoka kuwa mali asili kuwa watu waliostaraabika!! Wapende wasipende lazima walazimishiwe ustaraabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama watu wa aina yako ndio watu wastaarabu, basi ni bora wamasai wabaki ngorongoro. Kwa ulichokiandika hapa, hata fisi na nyumbu watakushangaa eti unataka kuwafundisha wamasai ustaarabu.

I STAND WITH THE MAASAI!
 
Kama watu wa aina yako ndio watu wastaarabu, basi ni bora wamasai wabaki ngorongoro. Kwa ulichokiandika hapa, hata fisi na nyumbu watakushangaa eti unataka kuwafundisha wamasai ustaarabu.

I STAND WITH THE MAASAI!

Kita mgongo sasa hapo porini waaambie pigeni risasi, kuondoka mtaondoka tu
 
Waondoke huko kwanza wanaishi maisha magumu sana!! Waje mijini huku wajichanganya na watu waacha kuwa mali asili!!

Tanzania inataka kuwakomboa kutoka kuwa mali asili kuwa watu waliostaraabika!! Wapende wasipende lazima walazimishiwe ustaraabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ile ni asili yao wangewaelekeza taratibu na kuwaboreshea humo humo, miaka yote wameishi na fisi,Simba ,nyati n.k sasa leo nini, huku wao wanauza sijui kugawa wanyama
 
Waondoke huko kwanza wanaishi maisha magumu sana!! Waje mijini huku wajichanganya na watu waacha kuwa mali asili!!

Tanzania inataka kuwakomboa kutoka kuwa mali asili kuwa watu waliostaraabika!! Wapende wasipende lazima walazimishiwe ustaraabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unacoment halafu unacheka??
Watu wapo serous ujue!!.
 
Sasa ninacho kiona ni bomu kubwa Sana linakuja
1. Mgogoro mkubwa Sana wa wafugaji na wakulima huko tanga.
2. Kuuliwa Sana kwa wanyama watakao toroka hifadhi kuja kwenye makazi( mgogoro kati ya binadamu na wanyama)
3. Ubaguzi kwa raisi. ( Mzanziba kuwaonea wa bara)
4............
Wacha niishie hapo mungu Ni mwema tusifike huko.
 
Sasa ninacho kiona ni bomu kubwa Sana linakuja
1. Mgogoro mkubwa Sana wa wafugaji na wakulima huko tanga.
2. Kuuliwa Sana kwa wanyama watakao toroka hifadhi kuja kwenye makazi( mgogoro kati ya binadamu na wanyama)
3. Ubaguzi kwa raisi. ( Mzanziba kuwaonea wa bara)
4............
Wacha niishie hapo mungu Ni mwema tusifike huko.

Watanzania wengi ni wabaguzi sana, wewe hapo umeshaonyesha ni mmbaguzi, okayyy mama ni mzanzibari na ni mwarabu sio!! Kwa taarifa yako huyo ndie rais wako, utamchukia lakini wengi wa watanzania wanampenda. Allah amjaalie afya njema mama yetu, na amuepushe na watu wabaya wenye nia mbaya dhidi yake.
 
Kama watu wa aina yako ndio watu wastaarabu, basi ni bora wamasai wabaki ngorongoro. Kwa ulichokiandika hapa, hata fisi na nyumbu watakushangaa eti unataka kuwafundisha wamasai ustaarabu.

I STAND WITH THE MAASAI!

Sasa wewe unalalamikia wamasai, wenzio tayari wameshajengewa nyumba 103, na zinaelekea kuwa tayari wakina yero wahamie makazi mapya, wataishi karibu na watu (wastaarabu waislamu wa tanga) mashaaallah watajifunza mengi na kustaarabika.


Au unawaonea wivu mzee!! Kila mmasai atamiliki nyumba yake mpyaaa, lenye eneo la heka tatu, na isitoshe wametengewa eneo kubwa kwa ajili ya malisho ya mifugo yao. Huoni huyu mama amejitolea mhanga, huoni kuwa huyu mama ni mwenye utu na huruma!!! Yote haya bado mnalalamika!!!


Bhujiku ng'waka!
 
Back
Top Bottom