Ni bora wazungu warudi tu kama zamani kutawala waziwazi kuliko hivi sasa kuwatumia ndugu zetu kina Mbowe

Ni bora wazungu warudi tu kama zamani kutawala waziwazi kuliko hivi sasa kuwatumia ndugu zetu kina Mbowe

Wewe Sukuma Gang, uneandika upuuzi wako hapo huku avatar yako ukiipa jina la mtoto wa Mchungaji!

Hebu nieleze hao Task Force walikuwa na uhalali gani kumfungia Freeman Mbowe akaunti zake zote?

Hivi unajua katika utawala bora unaofuata sheria ni Mahakama pekee yenye nguvu hiyo waliyojitwalia hao wanaojiita Task Force?
Walikuwa wanapata maelekezo kutoka kwa mungu wao
 
Wewe Sukuma Gang, uneandika upuuzi wako hapo huku avatar yako ukiipa jina la mtoto wa Mchungaji!

Hebu nieleze hao Task Force walikuwa na uhalali gani kumfungia Freeman Mbowe akaunti zake zote?

Hivi unajua katika utawala bora unaofuata sheria ni Mahakama pekee yenye nguvu hiyo waliyojitwalia hao wanaojiita Task Force?
Umesahau pia kuna baadhi ya madc walikuwa wanatumika hovyo kama yule aliyeamua kuteketeza shamba la mbowe
 
Nimesoma mwanzo na mwisho nimegundua ni futile attempts za taahira mmoja kutaka kufuta ukweli na uzito wa taarifa za mkutano wa Mbowe jana.

Bado Polepole anawalipa hawa wajinga kumbe nilifikiri baada ya mwenzake kwenda zake mradi huu wa hawa wajinga mitandaoni utajiishia zake.
Hao bado wapo ila muda wao umebakia kidogo maana wafadhili wao wamepigwa pini.
 
Chanjo zipo nyingi ila hii Astra Zeneca inalalamikiwa mara nyingi sana,umakini kwa watoa maamuzi ni muhimu, hasa kwa watafiti wetu, waende kwenye mataifa yalipata changamoto na kupata abcd
 
Ni kweli walimuita JK dhaifu tena ni yule mtoto ambaye JK anaweza kumzaa, amekuja Jiwe kaonyesha umwamba wanalialia, binadamu watu wa ajabu kabisa, huyu Mama Samia akicheka nao hawa ataingia nao chumban aendelee kuwapiga spana tu.
Hujielewi wewe sukuma gang
 
Kama hataki kushiriki uchaguzi akae pembeni, wengine watashiriki, ile ni kauli ya kiongozi wa Chadema, waendelee hivyo hivyo tuone nani ataumia
Hii nchi kuendelea kuwa na watu wa hovyo kama wewe kamwe hatuwezi kupiga hatua hata moja ya kimaendeleo
 
Wewe Sukuma Gang, uneandika upuuzi wako hapo huku avatar yako ukiipa jina la mtoto wa Mchungaji!

Hebu nieleze hao Task Force walikuwa na uhalali gani kumfungia Freeman Mbowe akaunti zake zote?

Hivi unajua katika utawala bora unaofuata sheria ni Mahakama pekee yenye nguvu hiyo waliyojitwalia hao wanaojiita Task Force?
Wewe chagga gang mbona ripoti ya CAG inaonesha CHADEMA kuna madudu na mwenyekiti kapiga kimya kama hakuna yaliyotokea... Zile ruzuku ni mali ya umma, kwahyo ni wezi kama waizi wengine
 
Nimesikitiswa sana na Freeman na kama jina lake lilivyo kweli ni mtu huru anaweza jutumika kokote kule kufanya biashara yoyote hata kama hiyo biashara italighalimu taifa lake, ndugu zake au jamii yake hicho yeye ajali. Sikuamini masikio yangu nilipomsikia Mbowe akiifanyia advatasingi ya chanjo ya korona ambayo nchini Marekani na kwingineko imeua watu zaidi ya 4000. (Chanzo BBC SWAHILI)

Mataifa yaliyotutawala yana ajenda mbaya ya siri kuhusiana na Covid na maisha yetu Waafrika, ndugu zangu nawaambia, huu ni mradi wa yule tajiri anaitwa Bill Gate na aliwai sikika yeye na familia yake wakisema ****, kuwa mpaka kufikia katikati ya mwezi wa 5 mwaka 2020 Afrika itakuwa imezagaa maiti kila kona ya mitaa ya bara la Afrika. Hapa awalikuwa hawana mchakato wa chanjo.

Baadae mwishoni mwa mwaka huo 2020 walianza kulalamika hawa wazungu tena wote wakisema mbona Afrika wao hawafi kwa wingi kama sisi, inakuwaje (haiwezekani) Ikumbukwe alisimama mzungu mmoja na kusema kutoka Ufaransa kuwa kunachanjo ameigundua anaomba ipelekwe Afrika kufanyiwa utafiti, nchi nyingi za Afrika zilistushwa na jambo hilo na kukataa kufanyiwa majaribio.

Mimi kutaka story nasema hivi kumbukeni kila walichokipanga na kukisema akina Freemani na genge lake vyote vimetokea hakika Mungu anawasikiliza sana hawa watu, kwani walimsema Jakaya Kikwete kuwa ni dhaifu hivyo walitaka Rais mkakamavu akaja leo yupo tayari kaburini anampiga utazani yupo hai (kama mwanaume kweli)

Kwa jinsi hili genge lilivyoamua kuingia katika hii biashara na wazungu kama walivyoanza huku nyuma kusema nchi ifungwa sasa naona tunafika, saa inakuja kila mtu hasa wafusi wa Mbowe watamkumbuka Magufuli na kuanza kumlilia na kusahau kuwa wakati alipofariki mlisherekea.

Kabla ya kuja kwa wazungu Afrika na kuleta machanjo kibao waafrika walikuwa wanaishi wastani wa miaka 150, yaani mzee wa miaka 130 alikuwa anaudhuria kilabuni na kwingineko, naakiona vipi aliongeza mke wa 9 yaani alikuwa bado anaamsha dude kama kawa, leo mtu akifikisha miaka 65 tia maji tia maji na wengi hatufiki. Tuanze kupunguza imani kwa hawa wazungu.

Tusiwe wanafki kama Magu alikosea sawa sema na kama Mbowe anakosea sema pia kwani anatupeleka pabaya kuliko kubaya namwona kama ameungana na maadui wa kihistoria.
Adui wa Wananchi ni Viongozi wa nchi, wao ndio wamefilisi wananchi tangu nchi imepata uhuru mpaka sasa Watu wanalia kwa kupoteza mali zao, mkoloni alikuwepo ila babu zetu walifanya biashara na wakawa na pesa wakachangishana wakapigania uhuru wakaupata serikali yao ikawafilisi, nani ni Mwenye makosa. chanjo hio sio ya kwanza, kwanini mpaka Leo hatuna wataalamu wakutengeneza chanjo? kama tuna wataalamu kwanini wasiifanyie hio chanjo uchunguzi ili ijulikane ni salama au sio salama na watoe taarifa rasimi kwa nchi na dunia? tuache chuki na uzembe wa ajabu ajabu.
 
Nimesikitiswa sana na Freeman na kama jina lake lilivyo kweli ni mtu huru anaweza jutumika kokote kule kufanya biashara yoyote hata kama hiyo biashara italighalimu taifa lake, ndugu zake au jamii yake hicho yeye ajali. Sikuamini masikio yangu nilipomsikia Mbowe akiifanyia advatasingi ya chanjo ya korona ambayo nchini Marekani na kwingineko imeua watu zaidi ya 4000. (Chanzo BBC SWAHILI)...
Kwa hiyo hatutaki chanjo ili tuishi miaka 150,basi kwanini tuikatae ya corona wakati zingine kama kumi tunazipata kwa lazima .Tungeweza tungetengeneza yetu tuachane na tunaowaita mabeberu.

Shida yetu hatuwataki wenye upeo wakutuondoa kwenye mkwamo badala yake ,tunafurahi kudanganywa na wachache kwa maslahi yao binafsi.
 
Hii nchi kuendelea kuwa na watu wa hovyo kama wewe kamwe hatuwezi kupiga hatua hata moja ya kimaendeleo
Sasa kama hutaki unataka tukulazimishe, ukisusa wenzako wanakula, huu msemo mtauelewa vizuri 2025
 
Wewe acha ushamba subiri chanjo, kila kitu hamkosi kuleta siasa za kijinga sasa mna njia gani mbadala ya kupambana na Corona. Very hopeless.
 
Back
Top Bottom