Walikuwa wanapata maelekezo kutoka kwa mungu waoWewe Sukuma Gang, uneandika upuuzi wako hapo huku avatar yako ukiipa jina la mtoto wa Mchungaji!
Hebu nieleze hao Task Force walikuwa na uhalali gani kumfungia Freeman Mbowe akaunti zake zote?
Hivi unajua katika utawala bora unaofuata sheria ni Mahakama pekee yenye nguvu hiyo waliyojitwalia hao wanaojiita Task Force?
Umesahau pia kuna baadhi ya madc walikuwa wanatumika hovyo kama yule aliyeamua kuteketeza shamba la mboweWewe Sukuma Gang, uneandika upuuzi wako hapo huku avatar yako ukiipa jina la mtoto wa Mchungaji!
Hebu nieleze hao Task Force walikuwa na uhalali gani kumfungia Freeman Mbowe akaunti zake zote?
Hivi unajua katika utawala bora unaofuata sheria ni Mahakama pekee yenye nguvu hiyo waliyojitwalia hao wanaojiita Task Force?
Akili zake zinaonekana ni mbugia ugoro hivyo hata kazi zake ni ugoroSijasoma hili andiko lako! Ila akili yangu imeniambia utakuwa umeandika ugoro tu mwanzo mwisho!
Uongo, kweli?
Hao bado wapo ila muda wao umebakia kidogo maana wafadhili wao wamepigwa pini.Nimesoma mwanzo na mwisho nimegundua ni futile attempts za taahira mmoja kutaka kufuta ukweli na uzito wa taarifa za mkutano wa Mbowe jana.
Bado Polepole anawalipa hawa wajinga kumbe nilifikiri baada ya mwenzake kwenda zake mradi huu wa hawa wajinga mitandaoni utajiishia zake.
Hakika umewaza mbali sana.Shukrani Sana kwa aloleta Kitufe hiki cha "ignore"
Walishalishwa sumu kutoka kwa musoriniUmepigwa chanjo ngapi ulivyokuwa mchanga na hujafa?
Na chanjo zilitoka kwa hao hao wazungu
Inaelekea ni mvuaHali ya hewa ikoje hapo Chato? Kuna mvua au jua?
Hujielewi wewe sukuma gangNi kweli walimuita JK dhaifu tena ni yule mtoto ambaye JK anaweza kumzaa, amekuja Jiwe kaonyesha umwamba wanalialia, binadamu watu wa ajabu kabisa, huyu Mama Samia akicheka nao hawa ataingia nao chumban aendelee kuwapiga spana tu.
Hii nchi kuendelea kuwa na watu wa hovyo kama wewe kamwe hatuwezi kupiga hatua hata moja ya kimaendeleoKama hataki kushiriki uchaguzi akae pembeni, wengine watashiriki, ile ni kauli ya kiongozi wa Chadema, waendelee hivyo hivyo tuone nani ataumia
Nasikia upo zamu ya kulinda kaburiJibu hoja zake Acha maneno mengi ya mtaani
Kwahiyo wewe umabadilika na kuwa nyaniSio kila chanjo unakubali kisa tu uliwai kukubali huko nyuma, watu hubadilika kila wakati
Tena ni zombieYaani mtu kutofautiana na wewe amekuwa tahiraaa? Dr Abbas aendelee na kazi yake, nyie mnataka uhuru wa kuongea lakini wengine wakiongea wamekuwa matahira
Wewe chagga gang mbona ripoti ya CAG inaonesha CHADEMA kuna madudu na mwenyekiti kapiga kimya kama hakuna yaliyotokea... Zile ruzuku ni mali ya umma, kwahyo ni wezi kama waizi wengineWewe Sukuma Gang, uneandika upuuzi wako hapo huku avatar yako ukiipa jina la mtoto wa Mchungaji!
Hebu nieleze hao Task Force walikuwa na uhalali gani kumfungia Freeman Mbowe akaunti zake zote?
Hivi unajua katika utawala bora unaofuata sheria ni Mahakama pekee yenye nguvu hiyo waliyojitwalia hao wanaojiita Task Force?
Adui wa Wananchi ni Viongozi wa nchi, wao ndio wamefilisi wananchi tangu nchi imepata uhuru mpaka sasa Watu wanalia kwa kupoteza mali zao, mkoloni alikuwepo ila babu zetu walifanya biashara na wakawa na pesa wakachangishana wakapigania uhuru wakaupata serikali yao ikawafilisi, nani ni Mwenye makosa. chanjo hio sio ya kwanza, kwanini mpaka Leo hatuna wataalamu wakutengeneza chanjo? kama tuna wataalamu kwanini wasiifanyie hio chanjo uchunguzi ili ijulikane ni salama au sio salama na watoe taarifa rasimi kwa nchi na dunia? tuache chuki na uzembe wa ajabu ajabu.Nimesikitiswa sana na Freeman na kama jina lake lilivyo kweli ni mtu huru anaweza jutumika kokote kule kufanya biashara yoyote hata kama hiyo biashara italighalimu taifa lake, ndugu zake au jamii yake hicho yeye ajali. Sikuamini masikio yangu nilipomsikia Mbowe akiifanyia advatasingi ya chanjo ya korona ambayo nchini Marekani na kwingineko imeua watu zaidi ya 4000. (Chanzo BBC SWAHILI)
Mataifa yaliyotutawala yana ajenda mbaya ya siri kuhusiana na Covid na maisha yetu Waafrika, ndugu zangu nawaambia, huu ni mradi wa yule tajiri anaitwa Bill Gate na aliwai sikika yeye na familia yake wakisema ****, kuwa mpaka kufikia katikati ya mwezi wa 5 mwaka 2020 Afrika itakuwa imezagaa maiti kila kona ya mitaa ya bara la Afrika. Hapa awalikuwa hawana mchakato wa chanjo.
Baadae mwishoni mwa mwaka huo 2020 walianza kulalamika hawa wazungu tena wote wakisema mbona Afrika wao hawafi kwa wingi kama sisi, inakuwaje (haiwezekani) Ikumbukwe alisimama mzungu mmoja na kusema kutoka Ufaransa kuwa kunachanjo ameigundua anaomba ipelekwe Afrika kufanyiwa utafiti, nchi nyingi za Afrika zilistushwa na jambo hilo na kukataa kufanyiwa majaribio.
Mimi kutaka story nasema hivi kumbukeni kila walichokipanga na kukisema akina Freemani na genge lake vyote vimetokea hakika Mungu anawasikiliza sana hawa watu, kwani walimsema Jakaya Kikwete kuwa ni dhaifu hivyo walitaka Rais mkakamavu akaja leo yupo tayari kaburini anampiga utazani yupo hai (kama mwanaume kweli)
Kwa jinsi hili genge lilivyoamua kuingia katika hii biashara na wazungu kama walivyoanza huku nyuma kusema nchi ifungwa sasa naona tunafika, saa inakuja kila mtu hasa wafusi wa Mbowe watamkumbuka Magufuli na kuanza kumlilia na kusahau kuwa wakati alipofariki mlisherekea.
Kabla ya kuja kwa wazungu Afrika na kuleta machanjo kibao waafrika walikuwa wanaishi wastani wa miaka 150, yaani mzee wa miaka 130 alikuwa anaudhuria kilabuni na kwingineko, naakiona vipi aliongeza mke wa 9 yaani alikuwa bado anaamsha dude kama kawa, leo mtu akifikisha miaka 65 tia maji tia maji na wengi hatufiki. Tuanze kupunguza imani kwa hawa wazungu.
Tusiwe wanafki kama Magu alikosea sawa sema na kama Mbowe anakosea sema pia kwani anatupeleka pabaya kuliko kubaya namwona kama ameungana na maadui wa kihistoria.
Kwa hiyo hatutaki chanjo ili tuishi miaka 150,basi kwanini tuikatae ya corona wakati zingine kama kumi tunazipata kwa lazima .Tungeweza tungetengeneza yetu tuachane na tunaowaita mabeberu.Nimesikitiswa sana na Freeman na kama jina lake lilivyo kweli ni mtu huru anaweza jutumika kokote kule kufanya biashara yoyote hata kama hiyo biashara italighalimu taifa lake, ndugu zake au jamii yake hicho yeye ajali. Sikuamini masikio yangu nilipomsikia Mbowe akiifanyia advatasingi ya chanjo ya korona ambayo nchini Marekani na kwingineko imeua watu zaidi ya 4000. (Chanzo BBC SWAHILI)...
Akili ya kuambiwa changanyia na zako japo kiduchu.Sio kila chanjo unakubali kisa tu uliwai kukubali huko nyuma, watu hubadilika kila wakati
Sasa kama hutaki unataka tukulazimishe, ukisusa wenzako wanakula, huu msemo mtauelewa vizuri 2025Hii nchi kuendelea kuwa na watu wa hovyo kama wewe kamwe hatuwezi kupiga hatua hata moja ya kimaendeleo