Ni bora wazungu warudi tu kama zamani kutawala waziwazi kuliko hivi sasa kuwatumia ndugu zetu kina Mbowe

Mbona ARV mnameza?
Serikali wameridhika nazo kuwa faida zake ni nyingi kuliko hasara zake, hivyo hivyo ata hizo chanjo wakiridhika nazo wataruhusu, wakizikataa ata ubweke humu JF miaka 20 hupati kitu
 
Wivu tu
 
Ole wako usiyeweza kutumia chembe ya akili yako. Tuna uhuru wa takriban miaka 60 sasa, serikali ya CCM imetuendesha riverse mpaka ikatufikisha karne tatu kabla ya uhuru unategemmea nini? Kazi porojo badala ya hoja zenye kutuunganisha kama taifa. Magufuli tutamkumbuka, ndiyo kwa mateso, utekaji, kunyonga haki za binadamu, unyanganyi wa mali za watu binafsi kunyume cha sheria, kupoteza watu (mifano yote unayo), wizi wa fedha za umma (rejea ripoti ya CAG), lakini siyo kwa mazuri. Najua hata wewe humpendi ila unafiki unakufanya uushuhudie uwongo mchana kweupe.
 

heheheheeh
 
Yaani mtu kutofautiana na wewe amekuwa tahiraaa? Dr Abbas aendelee na kazi yake, nyie mnataka uhuru wa kuongea lakini wengine wakiongea wamekuwa matahira
Siyo kutofautiana na mimi, kutofautiana na kila mwenye akili timamu aliyesikiliza hotuba ya Mbowe. Hapo ndipo utaahira wako ulipoanzia
 
Siyo kutofautiana na mimi, kutofautiana na kila mwenye akili timamu aliyesikiliza hotuba ya Mbowe. Hapo ndipo utaahira wako ulipoanzia
Wewe kama unamuona Mbowe kaongea points, usilazimishe kila mtu aone hivyo, na uwe tayari kukubaliana na jambo hilo, maana binadamu tunatofautiana, Mbowe kwako ni Kiongozi, lakini kwa mtu mwengine Mbowe ni mnafiki na mlafi wa madaraka
 
Wewe kama unamuona Mbowe kaongea points, usilazimishe kila mtu aone hivyo, na uwe tayari kukubaliana na jambo hilo, maana binadamu tunatofautiana, Mbowe kwako ni Kiongozi, lakini kwa mtu mwengine Mbowe ni mnafiki na mlafi wa madaraka
Taahira at his best, mnalipwa shilingi ngapi siku hizi? Maana kazi yenu imekuwa ngumu na bosi wenu Lumumba nani sasa?
 
Umeshindwa kujadili hoja yangu, unaanza kuuliza visivyo kuwepo
Una hoja gani hiyo? Ungeanza kupangua hoja za Mbowe alizotoa jana halafu ujenge hoja yenu ya kumshambulia personally. Mna hoja gani yenye mantiki?
 
Yaani mtu kutofautiana na wewe amekuwa tahiraaa? Dr Abbas aendelee na kazi yake, nyie mnataka uhuru wa kuongea lakini wengine wakiongea wamekuwa matahira
Hawa jamaa nahisi ni watu wasiotakia mema hii nchi na wamejaa ubinafsi sana, Mungu atulinde asee tunakoelekea ninaona giza tu.
 
Kwa hiyo yote aliyosema Mbowe, umeambulia hilo tu la chanjo? Kufungiwa na kuharibiwa biashara hujaona pa kusema hapo?
 
Una hoja gani hiyo? Ungeanza kupangua hoja za Mbowe alizotoa jana halafu ujenge hoja yenu ya kumshambulia personally. Mna hoja gani yenye mantiki?
Hakuna hoja aliotoa Mbowe zaidi ya malalamiko ya kila siku, wewe kama umeona kuna hoja pale pole sanaaaaaaa
 
Never argue with a fool he ll pull you down to his level and beat you with experience
Mimi sielewi hii lugha, ebu andika kwa lugha ya Taifa, ila kwa hakika Mbowe ni mwanasiasa kama wengine, anaevutia maslahi yake na kaki kundi chake bhaasiii
 
Ungeyapitia aliyoyapitia huyo mzee wa watu wala usingethubutu kumuita hivyo ndugu pia tuliyoyasikia hatukuyajua ambayo yamehuzunisha zaidi tofauti na waliyofanyiwa waziwazi ambayo yalihuzunisha pia. Tanzania ni yetu sote haijalishi mtazamo alionao mtu wa pembeni yako.
 
Hakuna kitu nachukia kama mtu kuandika pumba halafu akaandika story ndefu!πŸ˜–πŸ˜–πŸ˜–
 
Kikwete alisema akili za kuambiwa changanya na za kwako, sasa ewe hata za kumbiwa hujaelewa, na za kwako hazijatosha!! Melo ni Mtu mwema sana, watu wote anawaruhusu watumie huu uwanja hata kama wanacheza kombe la mbuzi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…