Ni bora wazungu warudi tu kama zamani kutawala waziwazi kuliko hivi sasa kuwatumia ndugu zetu kina Mbowe

Ni kweli walimuita JK dhaifu tena ni yule mtoto ambaye JK anaweza kumzaa, amekuja Jiwe kaonyesha umwamba wanalialia, binadamu watu wa ajabu kabisa, huyu Mama Samia akicheka nao hawa ataingia nao chumban aendelee kuwapiga spana tu.
Natafuta point bado sijaipata
 
Natafuta point bado sijaipata
Hujapata point ni hivi, wakati wa Mzee JK hawa Chadema walisema Mzee JK ni dhaifu anacheka ovyo, hivyo nchi hii inahitaji mtu mkali sanaaaaaaa, amekuja JPM mkali wanalialia ohoooooo Rais amekuwa Dikteta, watu kama hawa ni kuwapiga spana huku unawaangalia, ni wanafiki sanaaaaaaa kama walivyomnafikia Mzee Lowassa kwa kumuita Fisadi baadae ghafla Kawa mgombea wa Urais, hapo vip umeipata point?
 
Mimi sielewi hii lugha, ebu andika kwa lugha ya Taifa, ila kwa hakika Mbowe ni mwanasiasa kama wengine, anaevutia maslahi yake na kaki kundi chake bhaasiii
Usibishane na mpumbavu, atakushusha chini kwenye level yake na atakushinda kwa uzoefu. Kama vile ulivyonishinda kwa uzoefu wa upumbavu ulionao na nimekubali kushindwa, mpumbavu mbobezi umeshinda bana
 
Walisema wanataka mtu mkali.sio dikteta. Mbona mi nawaelewa sana.
 
Ni kweli walimuita JK dhaifu tena ni yule mtoto ambaye JK anaweza kumzaa, amekuja Jiwe kaonyesha umwamba wanalialia, binadamu watu wa ajabu kabisa, huyu Mama Samia akicheka nao hawa ataingia nao chumban aendelee kuwapiga spana tu.
Muulize umwamba wake uko wapi? Hii dunia hainaga mwamba.
 
Sio kila chanjo unakubali kisa tu uliwai kukubali huko nyuma, watu hubadilika kila wakati
Huo msimamo wa kufuata mkumbo ni wa kitoto kweli. Kama kweli hao wazungu wana mpango wa kukudhuru watashindwa kisa umekataa chanjo? Vp madawa tunayoagiza kutoka kwa mabeberu plus product nyingine? Wakati mwingine tumieni vichwa kufikiri.
 
Serikali wameridhika nazo kuwa faida zake ni nyingi kuliko hasara zake, hivyo hivyo ata hizo chanjo wakiridhika nazo wataruhusu, wakizikataa ata ubweke humu JF miaka 20 hupati kitu
Mtachanjwa hata kwa viboko. Mimi serekali yenu sikivu nimesharidhika.
 

Wazungu wanaita self hate
 
Huyu jamaa ameandika kama anakamuliwa jipu liloko kwenye mpododo
 
Nashauri turudi shule tujifunze namna ya kujernga hoja intelligently/critically/smartly. Ni aibu kubwa!
 
Freeman=Freemason so sishangai lolote analofanya.That is what he is,an evil man.
 
Angalizo murua kabisa!
 
Usibishane na mpumbavu, atakushusha chini kwenye level yake na atakushinda kwa uzoefu. Kama vile ulivyonishinda kwa uzoefu wa upumbavu ulionao na nimekubali kushindwa, mpumbavu mbobezi umeshinda bana
Nyani unamjua? huyu kiumbe ni wa ajabu sana, huwa akipita Nyani mwenzake anamcheka ile ngoko makalioni, bila ya kujua kuwa yeye anayo ngoko kubwa kuliko yule anayemcheka, na mimi na kuacha kama ulivyo, umeonyesha unatabia zote za Nyani
 
Walisema wanataka mtu mkali.sio dikteta. Mbona mi nawaelewa sana.
JPM alikuwa mkali wala hakuwa dikteta, maana alikuwa pale ikulu kwa mujibu wa sheria, pale Chadema watu wana ndimi mbili ukiletewa maneno waliosema Lowassa alipokuwa ccm, ni tofauti na waliosema lowassa alipokuwa mgombea wao, cha ajabu eti nao wanawaita wengine ni wanafiki hatari sanaaaaaaa
 
Huo msimamo wa kufuata mkumbo ni wa kitoto kweli. Kama kweli hao wazungu wana mpango wa kukudhuru watashindwa kisa umekataa chanjo? Vp madawa tunayoagiza kutoka kwa mabeberu plus product nyingine? Wakati mwingine tumieni vichwa kufikiri.
Kosa moja aliondoi kosa jingine, usalama wa raia ni kazi ya Serikali, hawa waliwai kututawala na kutufanya kama wanyama, tunayo haki ya kujiridhisha , ndio maana kuna taasisi zenye wataalamu kwa ajili ya kazi hizo, wewe kama unaona tunachelewa nenda Kenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…