Uchaguzi 2020 Ni CCM kila kona, Wagombea Vyama vingine wako wapi?

Uchaguzi 2020 Ni CCM kila kona, Wagombea Vyama vingine wako wapi?

Patriot

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2008
Posts
5,705
Reaction score
4,703
Naangalia mitandao na magazeti na vyombo vya habari. KIla sehemu wananchi wanajitokeza kupambana nafasi za Ubunge kupitia CCM. Nilitegemea Vyama vingine pia kuonesha bashasha hizo, lakini siwaoni. Muko wapi CUF, ACT, TLP, CDM, UDP, n.k?

Kwa mtindo huu, yaweza kuwa ni uchaguzi wa upande mmoja. Kwa nini vyama vya upinzani havivutii wagombea wenye sifa za ufhamu? Je, ni woga wa wagombea na kulazimika kujikomba chama tawala? Au Wagombe ndani ya CCM wnaigiza upendo kwa chama kwa sababu zao binafsi?
 
Mkuu usiwe na haraka kila chama kina utaratibu wake. Kama sasahivi unawaona CCM tu Basi jua Utaratibu wao wa kujulikana wagombea ushaanza na Kama huwaoni vyama vingine Basi jua Utaratibu wao haujaanza Ila ukishaanza nao utawaona pia.

Kumbuka hata 2015 Mpaka unamalizika mchakato wa kumpata mgombea urais CCM, UKAWA walikuwa bado Ila mwisho wa siku Walikamilisha utaratibu wakamusimamisha mgombea wao.
 
Naangalia mitandao na magazeti na vyombo vya habari. KIla sehemu wananchi wanajitokeza kupambana nafasi za Ubunge kupitia CCM. Nilitegemea Vyama vingine pia kuonesha bashasha hizo, lakini siwaoni. Muko wapi CUF, ACT, TLP, CDM, UDP, n.k?

Kwa mtindo huu, yaweza kuwa ni uchaguzi wa upande mmoja. Kwa nini vyama vya upinzani havivutii wagombea wenye sifa za ufhamu? Je, ni woga wa wagombea na kulazimika kujikomba chama tawala? Au wagombe ndani ya CCM wnaigiza upendo kwa chama kwa sababu zao binafsi?
Binafsi nakushangaa wewe unayeshangaa uwepo wa hali hiyo.
 
22228155_1009674832507341_1402074420001502549_n.jpg
 
Kapime Kwanza macho,Kama huoni wabunge wa vyama vingine Basi ninkwa sababu unachagua taarifa za kuona na kusikia,ungekuwa hubagui ungeshasikia kazi kwako

Anasoma gazeti la uhuru na magazeti ya serikali, lakini hana chanzo chochote huru cha habari. Lazima hitimisho lake liwe kwenye kile anacholishwa.

Kwa maneno marahisi yuko ndani ya box. Hata hivyo sisi wapiga kura tunaojitambua tunahitaji tume huru ya uchaguzi, kuliko hilo zoezi chini ya tume isiyo huru ya uchaguzi.
 
Kapime Kwanza macho,Kama huoni wabunge wa vyama vingine Basi ninkwa sababu unachagua taarifa za kuona na kusikia,ungekuwa hubagui ungeshasikia kazi kwako
unajua nchi ina majimbo mangapi? wanaojitokeza upinzani ni wangapi?
 
Kwa fimbo zile na minada ile wapinzani bado wanajiuliza.
 
Wanatafuta wagombea bado hawajapata cuf wabunge wote wamekimbia Cha Domo wabunge karibia wote wamekimbia act ndio Ina waandaa wabunge wa cuf walio hamia hapo CCM ndio baba Lao kina Jimbo Kuna watia Nia karibu 500 kwa hiyo usivishangae vijisaccos kuwa bado wanasuasua ikifika mda tutawajua wasindikizaji wao wa nafasi za ubunge
 
Kama walichokua wanakihubiri upinzani kimetekelezwa kwa zaidi ya asilimia miamoja na kuboreshwa zaidi na CCM sasa upinzani wa nini?
Hizi ni zama za HAPA KAZI TUU wakati wa kuuza maneno haupo
 
Majibu yako katikati ya post yako aisee bwashee
 
Naangalia mitandao na magazeti na vyombo vya habari. KIla sehemu wananchi wanajitokeza kupambana nafasi za Ubunge kupitia CCM. Nilitegemea Vyama vingine pia kuonesha bashasha hizo, lakini siwaoni. Muko wapi CUF, ACT, TLP, CDM, UDP, n.k.?

Kwa mtindo huu, yaweza kuwa ni uchaguzi wa upande mmoja. Kwa nini vyama vya upinzani havivutii wagombea wenye sifa za ufhamu? Je, ni woga wa wagombea na kulazimika kujikomba chama tawala? Au wagombe ndani ya CCM wnaigiza upendo kwa chama kwa sababu zao binafsi?
Unataka wafanyeje kika cha zitto tu cha ndani zimeenda deffender 4 na silaha za moto alafu bila aibu tunaambiwa walikuwa wanaandamana
 
Wanatafuta wagombea bado hawajapata cuf wabunge wote wamekimbia Cha Domo wabunge karibia wote wamekimbia act ndio Ina waandaa wabunge wa cuf walio hamia hapo CCM ndio baba Lao kina Jimbo Kuna watia Nia karibu 500 kwa hiyo usivishangae vijisaccos kuwa bado wanasuasua ikifika mda tutawajua wasindikizaji wao wa nafasi za ubunge
thibitisha hao wagombea 500
 
NAthibitisha Kwamba kelele nyingi dhidi ya serikali ni kukosa hoja. Sasa wapinzani hawana wagombea, uzi kama huu umekosa kelele za aina hiyo.
 
Back
Top Bottom