Uchaguzi 2020 Ni CCM kila kona, Wagombea Vyama vingine wako wapi?

Sio kwamba CCM ni malaika la hasha ni zaidi ya yule.
CCM ni chama dola. Ana dola ndio mwenye pesa na madaraka,pia ndio mwenye uwezo wa kukandamiza au kumpa ulaji.
 
Mkuu watu wamehehuka utadhani kuna kitu wanapata zaidi ya kelele za ccm povu linawatoka badala ya kutafuta ugali wa kulisha watoto wao
 
Kwani mmeshawaruhusu wagombea wa vyama vingine kujitangaza? Maana hata form wakichukua mnawaita kituoni eti wameandamani bila vibali
 
Vyombo vya habari vimezuiliwa na ccm wakati huu.
 
Ccm ina mapunga wengi huenda nawe ni mmoja wao
 
Kama walichokua wanakihubiri upinzani kimetekelezwa kwa zaidi ya asilimia miamoja na kuboreshwa zaidi na CCM sasa upinzani wa nini?
Hizi ni zama za HAPA KAZI TUU wakati wa kuuza maneno haupo

Nchi imejawa na wapuuzi mpaka kero? Marekani kuna mafanikio makubwa lakini upinzaji upo. Leo hii nyie kuingia uchumi wa kati tu mnaona upinzani kama maadui. Ni mjinga pekee asiyependa upinzani maishani mwake
 
Nchi imejawa na wapuuzi mpaka kero? Marekani kuna mafanikio makubwa lakini upinzaji upo. Leo hii nyie kuingia uchumi wa kati tu mnaona upinzani kama maadui. Ni mjinga pekee asiyependa upinzani maishani mwake

Wewe unawaita wenzio wapuuzi na wajinga halafu unalalamika hawakupendi, unahisi kuna faida yoyote wewe kupendwa na mpuuzi mjinga?
Mkuu pole kwa hasira ila siasa ni kazi na kila mwanasiasa anajaribu kufanya kazi ili aongoze dola. Siasa haihitaji chuki wala matusi
 
Kama walichokua wanakihubiri upinzani kimetekelezwa kwa zaidi ya asilimia miamoja na kuboreshwa zaidi na CCM sasa upinzani wa nini?
Hizi ni zama za HAPA KAZI TUU wakati wa kuuza maneno haupo
Mumeo hajambo??!
 
Kama walichokua wanakihubiri upinzani kimetekelezwa kwa zaidi ya asilimia miamoja na kuboreshwa zaidi na CCM sasa upinzani wa nini?
Hizi ni zama za HAPA KAZI TUU wakati wa kuuza maneno haupo

Kutokana na argument yako ina maana ccm hawana ubunifu wa sera mpaka waambiwe na wapinzani, huoni upinzani bado una haja ya kuwepo? maana bila wao ccm haina dira na haitakuwa na cha kutekeleza.
 
CCM nasikia kuna majimbo hayatakuwa na kura za maoni ni ya kweli haya? kwamba yana wateule tayari.
 
Kutokana na argument yako ina maana ccm hawana ubunifu wa sera mpaka waambiwe na wapinzani, huoni upinzani bado una haja ya kuwepo? maana bila wao ccm haina dira na haitakuwa na cha kutekeleza.

Ukipitia sera za vyama vya siasa utakutana mipango mizuri sana. CCM ya sasa inatekeleza mipango mingi iliyoandaliwa kuanzia awamu ya kwanza na mingi mipya tena kwa speed ya ajabu. Sera bila utekelezaji ni sawa Ile ya mipango sio matumizi
 
Vilaza ni wengi nchini kuliko werevu. Ccm kuna vilaza wengi ndio maana wao sana
 
Vilaza ni wengi nchini kuliko werevu. Ccm kuna vilaza wengi ndio maana wao sana
 
Vilaza ni wengi nchini kuliko werevu. Ccm kuna vilaza wengi ndio maana wao wanaonekana sana
 
Unauliza mavumbi stoo 'maagizo toka .....na intelejensia'
 
sasa wewe unaangalia channel ten, star tv, millard ayo, tbc, michuzi blog, global publishers halafu unategemea kuona wagombea wa vyama vingine tofauti na ccm?
 

πŸ˜‚πŸ˜‚ wapi nimelalamika hawanipendi?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ wapi nimelalamika hawanipendi?
Nchi imejawa na wapuuzi mpaka kero? Marekani kuna mafanikio makubwa lakini upinzaji upo. Leo hii nyie kuingia uchumi wa kati tu mnaona upinzani kama maadui. Ni mjinga pekee asiyependa upinzani maishani mwake
Wewe unawaita wenzio wapuuzi na wajinga halafu unalalamika hawakupendi, unahisi kuna faida yoyote wewe kupendwa na mpuuzi mjinga?
Mkuu pole kwa hasira ila siasa ni kazi na kila mwanasiasa anajaribu kufanya kazi ili aongoze dola. Siasa haihitaji chuki wala matusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…