Ni Celebrity yupi unaetamani kutoka nae?

Ni Celebrity yupi unaetamani kutoka nae?

Me hata siendi mbali, hapa hapa Tzee tena Dzm,hapa hapa wilaya ya Kinondoni...
George Bantu ananitosha.....
 
Itakuwa.

Alafu umeongea hivyo nikakumbuka juzi nimekutana na kitoto sijui ni kagonjwa au ni kawaida tu!! Kana macho ya blue.


Aw!, yanakuwaga ya kipekee kwa kweli, zaidi kwa watu wenye asili ya Africa.
 
Siend hata mbali

Joket ananitosha yan
Light angepita hapa au
Kule celebrity jukwaaan
 
cd07e5ba5293084149c919f810b61a70.jpg

1b6ba1b0dfffaee77d18b9bf655f06d6.jpg

Huyu anaitwa Kelly Rowland toka kundi la destiny child tangu nikiwa mdogo nilikuwaga namzimiaa vibaya mpaka ikafikia kipind niko form two nikaamuandikia barua na kwenda kuipost nikitegemea atanijibu
 
Dah umeniwahi kinomanoma mkuu mondray.
Basi wacha nimchukue huyu
Inanna Sarkis(comedian)
90dd1783d5b507bcbc04680b91e58500.jpg
a5bc68ad9151f3a7c73f3785597e0829.jpg
194612229fef90921bd688d0b4244f2d.jpg
f3620e5b4ddfe7e193e9e0fe10b7b8b9.jpg
46c5c38f536feb083b792dec4098bb49.jpg
e6e948c2e72f4376b5bfe5ed3c956369.jpg
 
Back
Top Bottom