Ni chakula gani ambacho ulikila unaridhika..

Hapo nimetaja kwa ujumla, sasa wewe angalia
1. Chakula halali(kimepatikana kwa njia ya halali na ni halali kutokana na Imani yako)
2. Chenye kirutubisho japo kimoja kinachohitajika mwilini mf. Protini, Wanga, Vitamini, Madini n.k
Hongera mwifwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…