Ni chakula gani ambacho ulikila unaridhika..

Ugali wa unga mahindi uliochanganywa kidogo na unga wa muhogo kwa samaki za kukaanga/dagaa na mchicha wa nazi au chuku chuku wenye nyanya chungu pembeni kuna Pilipili mbuzi/kichaa. Huwa najisikia raha sana kula chakula hiki si mchana si usiku.
 
Ugali wa unga mahindi uliochanganywa kidogo na unga wa muhogo kwa samaki za kukaanga/dagaa na mchicha wa nazi au chuku chuku wenye nyanya chungu pembeni kuna Pilipili mbuzi/kichaa. Huwa najisikia raha sana kula chakula hiki si mchana si usiku.
Hahahahahaha Baki umetisha sana mkuu.
 
Ugali wa unga mahindi uliochanganywa kidogo na unga wa muhogo kwa samaki za kukaanga/dagaa na mchicha wa nazi au chuku chuku wenye nyanya chungu pembeni kuna Pilipili mbuzi/kichaa. Huwa najisikia raha sana kula chakula hiki si mchana si usiku.
Daaah. Sio kwa kupenda chakula kizuri hivyo. [emoji39]

Itabidi Ramadhani ikiisha nikukaribishe aisee mana nshajua nini unapenda. [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Lol! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahsante sana Emmyta
[emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji257]Nausubiri mwaliko kwa hamu kubwa sana. Natumai mpishi utakuwa mwenyewe ukifanya mautundu yako ya jikoni.

Daaah. Sio kwa kupenda chakula kizuri hivyo. [emoji39]

Itabidi Ramadhani ikiisha nikukaribishe aisee mana nshajua nini unapenda. [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Lol! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahsante sana Emmyta
[emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji257]Nausubiri mwaliko kwa hamu kubwa sana. Natumai mpishi utakuwa mwenyewe ukifanya mautundu yako ya jikoni.

[emoji23] [emoji23]. Usijal BAK. Hiyo ndio raha ya kujua mgeni anapenda nini. [emoji2] [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…