Ni chakula gani ambacho ulikila unaridhika..

Ni chakula gani ambacho ulikila unaridhika..

Afadhali akudonoe tuu
Asa utafaidi nini??
images
 
Ugali wa unga mahindi uliochanganywa kidogo na unga wa muhogo kwa samaki za kukaanga/dagaa na mchicha wa nazi au chuku chuku wenye nyanya chungu pembeni kuna Pilipili mbuzi/kichaa. Huwa najisikia raha sana kula chakula hiki si mchana si usiku.
 
Ugali wa unga mahindi uliochanganywa kidogo na unga wa muhogo kwa samaki za kukaanga/dagaa na mchicha wa nazi au chuku chuku wenye nyanya chungu pembeni kuna Pilipili mbuzi/kichaa. Huwa najisikia raha sana kula chakula hiki si mchana si usiku.
Hahahahahaha Baki umetisha sana mkuu.
 
Ugali wa unga mahindi uliochanganywa kidogo na unga wa muhogo kwa samaki za kukaanga/dagaa na mchicha wa nazi au chuku chuku wenye nyanya chungu pembeni kuna Pilipili mbuzi/kichaa. Huwa najisikia raha sana kula chakula hiki si mchana si usiku.
Daaah. Sio kwa kupenda chakula kizuri hivyo. [emoji39]

Itabidi Ramadhani ikiisha nikukaribishe aisee mana nshajua nini unapenda. [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Lol! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahsante sana Emmyta
[emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji257]Nausubiri mwaliko kwa hamu kubwa sana. Natumai mpishi utakuwa mwenyewe ukifanya mautundu yako ya jikoni.

Daaah. Sio kwa kupenda chakula kizuri hivyo. [emoji39]

Itabidi Ramadhani ikiisha nikukaribishe aisee mana nshajua nini unapenda. [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Lol! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahsante sana Emmyta
[emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji257]Nausubiri mwaliko kwa hamu kubwa sana. Natumai mpishi utakuwa mwenyewe ukifanya mautundu yako ya jikoni.

[emoji23] [emoji23]. Usijal BAK. Hiyo ndio raha ya kujua mgeni anapenda nini. [emoji2] [emoji2]
 
Back
Top Bottom