Ni chakula gani ambacho ulikila unaridhika..

Ni chakula gani ambacho ulikila unaridhika..

1c1de0899b766cab66451162c661bf68.jpg
Chakula nikipendacho ugali tembele na mboga za mayai
 
Ugali+dagaa, kitimoto+ndizi, ugali +nyama choma. Ugali na mboga zozote ambazo ni fried au rost nzitoo, na chips mara moja moja.

Wali huwa nakula kwa bahati mbaya sana.
 
Mimi ni papuchi na msambwanda tuu aseeeeeee ndo vyakula vyanguuuuuuuu
 
Heshima kwenu wana jf

niende straight kwenye mada je ni chakula gani ambacho ukila una ridhika kabisa...??
Mm ni wali maharage yaani kwenye sherehe hua sikosi kama kuna hiki kitu wali maharage

wewe je unapenda chakula gani zaidi
Ugali na nyama ya mbwa aliyekaangwa vizuri
 
Back
Top Bottom