Kenya makande yao yanaitwa Githeri wanaongeza vikorombwezo mfano viazi ulaya,mboga mboga etc iko vizuri sanakuna makande yanapikwa kama pilau achana na hayo maharage yaani ukipikiwa na wataalam kama sisi utahamia.
ujue hakuna chakula kibaya sema ni mapishi na ulle mpangilio wa kula .chakula chochote ukila kila siku unakinai .chakula kilekile mapishi yale yale ndo tatizo la waafrica
Hahahah me tooo,sioni tabu mtori asbh,mchana ndizi nyama au maharage jioni mchemshooo au fried na rostii lolWaaooh yaani nikiona ndizi za kijani gengeni ninachanganyikiwa, ninaweza kuanza na mtori asubuhi machalari mchana na jioni bila matatizo.
Ungejua nilivyokuwa naishi na mshua kama tunaishi kambi ya jeshiWatoto wakishua bana...wenzio utachezea kichapo cha mama na utakula na machozi
Hahahahha poleh, wazee weng sijui kwanini walikua hvUngejua nilivyokuwa naishi na mshua kama tunaishi kambi ya jeshi
Aisee utadhani umeandika kilichomo kichwani mwangu!...sipendi ndizi za kupima period!Ndizi zozote zile ili mradi ziwe za kupika hata mpishi azipike akiwa uchi sizipendi, ziwe za nyama au maharage sijui utumbo nk nk sizipendi.
Hata nyama ya ndezi? Au digidigi?Mmmmh me nakula almost everything subiri nifkirie nlichokua sipendi
Hata nyama ya ndezi? Au digidigi?
Njaa inauma.. dahahahaa huyo maza house wako hajui kuchanganya misosi huwezi kupika bilinganya peke yake linaboa bilinganya unachanganya kwa maharage yawe na nazi halafu ulie wali mzee au kwenye dagaa au samaki utalipenda mwenyewe.bilinganya lina afya sana mimi nalipika sana
Waaooh that is my favorite meal, machalari in meat on the bone.
Tambi hunipati