Mtu Kwao
JF-Expert Member
- Sep 2, 2019
- 394
- 720
Habari Wana jamvi,
Katika dunia ya Sasa hasa nchini kwetu swala la ajira limekuwa ni kilio kikubwa sana.
Siku hizi kupata ajira ni kama bahati au connection yani kupata ajira kwa ujuzi wako imekuwa nadra sana.
Wapo waliomaliza chuo nakupa kazi moja kwa moja wapo walio subiri kwa zaid ya miaka mi 5 huku wakijitolea lakini pia wapo ambao mpaka Sasa hawajaweza kupata ajira au ata intern kikubwa nikutokukata tamaa tu.
Nikija kwenye dhumuni la uzi huu je ulipitia changamoto zipi wakati ukifanya intern.
Wengi tunajua intern nyingi watu huwa hulipwa lakini kwangu ilikuwa tofauti kabisa.
Binafsi nakumbuka baada ya kumaliza chuo nilituma maombi ya kazi na intern sehemu mbalimbali lakini nilibahatika kupata intern kwenye kampun fulan binafsi.
Dah pale ofisini nilikuwa silipwi chochote na wale jamaa niliowakuta nikama walijua Mimi ndo mkombozi wao wa kufanya kazi. Kazi zote nilikuwa nafanya Mimi ilifika kipindi nikawa natoka home na mandazi kwenye begi ule muda wa kula wenzangu wakienda kunywa chai na Mimi natoka nje kwenda kula mandazi yangu na maji[emoji1] kilichokuwa kikiniuma mtaani watu walikuwa wanajua nafanya kazi kwenye kitengo fulan huko serikalin maana nilikuwa najitahidi walau kupendeza lakini napo ilifika hatua nikachoka nguo zikaanza kuchakaa sabuni nakosa asee kwangu nilipitia wakati mgumu Sana.
Lakini nachoshukuru kupitia intern hiyo niliweza kujiongezea ujuzi zaidi na uzoefu lakini kubwa kupitia hapo ndo palinifungulia njia ya kupata kazi nzuri ambayo ndo nipo mpaka sasa.
Je wewe ulipitia changamoto gani wakati wa intern/kujitolea na je unakipi Cha kuwaambia ndugu zetu ambao bado wapo huko au wanakaribia kwenda huko.
Karibu..
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Katika dunia ya Sasa hasa nchini kwetu swala la ajira limekuwa ni kilio kikubwa sana.
Siku hizi kupata ajira ni kama bahati au connection yani kupata ajira kwa ujuzi wako imekuwa nadra sana.
Wapo waliomaliza chuo nakupa kazi moja kwa moja wapo walio subiri kwa zaid ya miaka mi 5 huku wakijitolea lakini pia wapo ambao mpaka Sasa hawajaweza kupata ajira au ata intern kikubwa nikutokukata tamaa tu.
Nikija kwenye dhumuni la uzi huu je ulipitia changamoto zipi wakati ukifanya intern.
Wengi tunajua intern nyingi watu huwa hulipwa lakini kwangu ilikuwa tofauti kabisa.
Binafsi nakumbuka baada ya kumaliza chuo nilituma maombi ya kazi na intern sehemu mbalimbali lakini nilibahatika kupata intern kwenye kampun fulan binafsi.
Dah pale ofisini nilikuwa silipwi chochote na wale jamaa niliowakuta nikama walijua Mimi ndo mkombozi wao wa kufanya kazi. Kazi zote nilikuwa nafanya Mimi ilifika kipindi nikawa natoka home na mandazi kwenye begi ule muda wa kula wenzangu wakienda kunywa chai na Mimi natoka nje kwenda kula mandazi yangu na maji[emoji1] kilichokuwa kikiniuma mtaani watu walikuwa wanajua nafanya kazi kwenye kitengo fulan huko serikalin maana nilikuwa najitahidi walau kupendeza lakini napo ilifika hatua nikachoka nguo zikaanza kuchakaa sabuni nakosa asee kwangu nilipitia wakati mgumu Sana.
Lakini nachoshukuru kupitia intern hiyo niliweza kujiongezea ujuzi zaidi na uzoefu lakini kubwa kupitia hapo ndo palinifungulia njia ya kupata kazi nzuri ambayo ndo nipo mpaka sasa.
Je wewe ulipitia changamoto gani wakati wa intern/kujitolea na je unakipi Cha kuwaambia ndugu zetu ambao bado wapo huko au wanakaribia kwenda huko.
Karibu..
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app