Ni cheche: Diamond atuwakilisha vilivyo katika hafla ya tuzo za FIFA Misri

IMEFIKA WAKATI SERIKALI ITAMBUA JITIHADA ZA HUYU JAMAA OFFICIALLY, AWE RECOGNIZED KAMA SHUJAA WA TAIFA.
KUNA WASANII WANGAP AFRIKA ILA KIJANA WETU NI MARA YA PILI ANA PERFOM PALE??TUWEKE WIVU WA KITANZANIA PEMBENI KWA HILI

Ushauri wako ni juu ya serikali ni upi sasa?

It's Scars
 
Acha wivu mkuu mpongeze mtu kulingana na alichofanya siyo lazima afanye kikubwa zaidi ya hao akina Samatta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soma tena ulichoandika kama unakielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaboa kwa kumuiga Michael Jackson kwa uchezaji na mavazi. Halafu badala ya kuutangaza muziki wa Tz, yeye kautangaza zaidi ule wa Kikongo. Hapa Katanga,Congo wanamshukuru kwa kuuenzi muziki Congo badala ya ule wa Tanzania.
 
Jamaa napiga show za tuzo CAF kwa mara ya pili.

Dogo ni wakati wake so hata kama msipo mshangilia au kumpa sifa yake basi mawe yatampa sifa na kushangilia.
 
Diamond ni mjanja mjanja tu.. hizo selfie kanunua. Kalipa hela ili hao watu wapige nae Show off Selfie..







Alisikika Abdu kiba akiongea na Omy dimpoz
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ukisikia kuna watu M.... Anawaona, na ww upo chief
 
pongezi kwa simba
 
Diamond ni mjanja mjanja tu.. hizo selfie kanunua. Kalipa hela ili hao watu wapige nae Show off Selfie..







Alisikika Abdu kiba akiongea na Omy dimpoz
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787]

kelphin kepph
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…