Mbona hiyo ni kawaida kwa Wabongo kwenda kwenye sherehe au shughuli kuomba kupiga vipicha na watu ili kuuza sura,.
Vishabiki Uchwara vya WCB hapo vinaojiona kama vimelitangaza taifa kwa hivi vipicha vya kawaida,. Hakina Samatta wanaojulikana Dunia nzima na walitizamwa na dunia nzima Akimgalagaza golikipa bora wa dunia na kutia nyavu mbele ya beki wa Dunia, Hawana mi Show off ya kinga Ya namna hii,
Vikik vya kijinga jinga vya kutaka kutrend kwa vipicha ambavyo hao uliowaomba kupiga nao watavifuta wakiwa wana View kwenye ndege havitokupeka popote, huna hit song kwa mda sasa Unavizia kurudia vinyimbo vya wasanii wenzio umeishiwa Idea unategemea kutrend kwa bifu la Diva na Vipicha, hahaha akina Dimpoz walipiga picha na Akina Rooney ila hawakuwa na upimbi wa Namna hii,.
Manyonyo na Yule Mganga utakuta nao wanatamba uko Insta na hivi vipicha utadhani wamechua tuzo