Sheillah Sheillah
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 653
- 1,698
Siku nikiona like yako nijue tu unataka kunitongoza?[emoji3][emoji3]Ya mdada ninayetaka kumtongoza.
Ndiyo.Siku nikiona like yako nijue tu unataka kunitongoza?[emoji3][emoji3]
Mimi bado mwanafunzi.Ndiyo.
Vipi sasa, tuanzie hapa au PM?
Kwa tunaotumia app button ya like bado ipoSidhani kama kuna button ya "Like" siku hizi.
Ninachokifahamu, kama kuna jambo limekugusa basi unaweza kuonesha hisia zako (reaction) kupitia options hizi zifuatazo:
1) Thanks
2) Love
3) Haha
4) Wow
5) Sad
6) Dislike
Jirani [emoji3]Za mapenzi....
Jirani[emoji23][emoji23][emoji23]Jirani [emoji3]
Umenichekesha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jirani[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio hivyo jirani....nilikosa jibu, nikapata lile....Umenichekesha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]