Ni daraja gani lisilopitika . . .nieleze nipae angani!!!

Ewaaaaaaaaaaah!!!
Hope umemfikia Mr. Loya na nina imani ametabasamu kwa mawimbi makubwa kbs!

thanx kipipi kwa kutuwekea huu wimbo huku maana mpaka zawadi nimeletewa coz of that song!loya kafurah kinoma!
 
Kipipi, you finish it all, no ingredients to add.

Mwaaaaaah
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
sijausikiliza huo wimbo lakini kwa maneno haya ni kama hayo mapenzi yapo upande mmoja.......
sasa kama ndo hivyo kazi inaanzia hapo... hata upae angani bado hutamfikia......
nakumbuka rafiki yangu BAK anasisitiza sana kupenda unapopendwa, otherwise ndo kila siku itakuwa kulalamika kimtindo huu
 
Last edited by a moderator:
Mrs chimbuvu sijui kaniendea tanga?nina wasiwasi coz sijamuona siku nyingi au ndio anapanga mbinu mbadala ya kupinga ndoa,mh,hata sielewi!
 
Kabisa rafiki FP kung'ang'aniza penzi ni kujitafutia magonjwa ya moyo na kukosa raha kwa vitu ambavyo viko nje ya uwezo wako.


 
Last edited by a moderator:


Dada hayo unayoyasema yaweza kuwa na ukweli.
Ila ukiingalia video na matendo yaliyomo utaona utofauti wake.
Ni distance tu ila mapenzi yapo kotekote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…