Yaani hapa nashine from my soul!
Asante sana.
. . .Bless!
hela unazodaiwa na Bishanga ziko wapi?
haya mama Miss you too.
Hope leo utalala kwa raha.
Me pia
full raha
Mimi pia sentensi hii imenigusa...Msiniulize kwa nini...Kipipi// ( I just wanna close to you ) sentense hii ina maana kwangu kubwa. Ngoja nitaludi kuifafanua
Nasubiri arusi..Hamjatutangazia tareheOoohh nimekaribia my passion lady! Aka kawimbo kana faa kila mara, hakika Kipipi umenigusa!
Ngoja ni muite rafiki Evelyn Salt na shem marejesho pamoja na mke wa Chimbuvu Madame B bila kumsahau Zion Daughter pamoja Paloma!
So muchNaukumbuka.
Na aliyeimba ni mwanaume . . . .so??? heheh
I JUST WANNA BE CLOSE TO YOU...haya maneno yamenigusa sana
naomba tu niishie hapo maana...
Thanks my dear Kipipi
Usimsikilizishe tu na umuimbie pia!
Mimi pia sentensi hii imenigusa...Msiniulize kwa nini...
tatizo sina kipaji
Kaka siunajua shem wako akiona kochi tu ananimiss lol
Mambo yote mwisho wake ni kochini hahahahaaa