Ni dawa gani ya fangas ya kunywa yakuondoa mautango utango mwilini?

Ni dawa gani ya fangas ya kunywa yakuondoa mautango utango mwilini?

Friedrich Nietzsche

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
2,095
Reaction score
3,649
Nimebata vibarango naona vinanirudia rudia nimeambiwa labda viko ndan bora itafute dawa ya kunywa ndo vitaisha

Sasa ni dawa gani yenye uhakika kwa ambao mmeshatumia
 
Nimebata [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimebata vibarango naona vinanirudia rudia nimeambiwa labda viko ndan bora itafute dawa ya kunywa ndo vitaisha

Sasa ni dawa gani yenye uhakika kwa ambao mmeshatumia
Tumia matango Kwa wingi kuondoa hayo MAUTANGO TANGO[emoji1787][emoji1787]
 
Tumia hivyo vidonge Microcidal ambatanisha na hiyo cream covarex,kama utapata utanipa jibu kwa muda mfupi tu.
20240414_105423.jpg
 
Kuna memba aliwahi kutupia picha hapa kwamba amepata vibarango kwenye kichwa cha mb..00
Yani wadada humu ndani waliishia kumsifia tu kwa namna alivyo jaaliwa😜😜😜
 
Kwann nisianze na hiyo Itraconazole kama ndo best au kuna contra indication
Dawa hutolewa Kulingana na Line of treatment..
KUna First line Of treatment ,Second line na third..
First line treatmwnt huwa na Mild Side effects ukilinganisha na Second line ne third line..

Na pia umejiuliza kama Tutatumia Third line na zikafail tutaenda kutibu na nini??
 
Tumia hivyo vidonge Microcidal ambatanisha na hiyo cream covarex,kama utapata utanipa jibu kwa muda mfupi tu. View attachment 2963206
Hii Microcidal Ndo Griseofulvin 500mg ..

Ila hilo Microcidal ni Jina lake la Biashara ila Griseofulvin ndo Jina lake la Dawa na Huitwa Generic Name..

So Kuna Trade name na Generic name..
Trade name hubadilika ila Generic name ni constant..

Kwa Mfano Panadol Ni trade name ya Paracetamol ambayo ndo generic name yake..

Lakini kuna sehemu hakuna Panadol ila kuna sheladol Triodol na zingine
 
Hii Microcidal Ndo Griseofulvin 500mg ..

Ila hilo Microcidal ni Jina lake la Biashara ila Griseofulvin ndo Jina lake la Dawa na Huitwa Generic Name..

So Kuna Trade name na Generic name..
Trade name hubadilika ila Generic name ni constant..

Kwa Mfano Panadol Ni trade name ya Paracetamol ambayo ndo generic name yake..

Lakini kuna sehemu hakuna Panadol ila kuna sheladol Triodol na zingine
Okay mkuu nimekupata,hivyo vidonge nimevikubali sana.
 
Dawa hutolewa Kulingana na Line of treatment..
KUna First line Of treatment ,Second line na third..
First line treatmwnt huwa na Mild Side effects ukilinganisha na Second line ne third line..

Na pia umejiuliza kama Tutatumia Third line na zikafail tutaenda kutibu na nini??
Sawa mkuu nimeelewa
 
Back
Top Bottom