Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Habari ya chato?Alidhibiti kwa kila namna wanaCcm wenzake walioliibia taifa la Tanzania kupitia sekta ya umeme. Hawa ni wale ambao kila mwaka walipiga dili kujifanya wanasaidia taifa kudhibiti upungufu wa umeme nchini ila kumbe walijinufaisha kwa asilimia kubwa...
Akaenda kujenga kiwanja cha ndege haramu kijijini kwake chatoMfano hai ni mradi haramu wa Bandari ya Bagamoyo
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo akapendwa na wana CCM waliozibuliwa mianya yao ya ufisadi kama kina Sabaya, Makonda, pole pole, bashiri na wenzao?Alidhibiti kwa kila namna wanaCcm wenzake walioliibia taifa la Tanzania kupitia sekta ya umeme. Hawa ni wale ambao kila mwaka walipiga dili kujifanya wanasaidia taifa kudhibiti upungufu wa umeme nchini ila kumbe walijinufaisha kwa asilimia kubwa...
Tuliposema tunataka katiba mpya alikuwa anajibu kwa kiburi kuwa katiba mpya sio kipaombele chake. Akaua mifumo yote ya kuhoji, huku akinajisi chaguzi za nchi hii ili kuwapa nafasi wanaccm wenzake.Alidhibiti kwa kila namna wanaCcm wenzake walioliibia taifa la Tanzania kupitia sekta ya umeme. Hawa ni wale ambao kila mwaka walipiga dili kujifanya wanasaidia taifa kudhibiti upungufu wa umeme nchini ila kumbe walijinufaisha kwa asilimia kubwa...
Acha chuki za kisiasa zisizofaaAkaenda kujenga kiwanja cha ndege haramu kijijini kwake chato
Ndugu una hakika na haya unayomsingizia hayati JPM?Tuliposema tunataka katiba mpya alikuwa anajibu kwa kiburi kuwa katiba mpya sio kipaombele chake. Akaua mifumo yote ya kuhoji, huku akinajisi chaguzi za nchi hii ili kuwapa nafasi wanaccm wenzake. Leo hayupo, ila kakabidhi nchi kwa wahuni wenzie. Mmebaki mnalilia wakati alipokuwa anavuruga utawala wa sheria mlikuwa mnakenua eti kaifanya CCM kuwa imara. Hivyo CCM sukuma gang kaeni kwa kutulia muone CCM Msoga line wanavyopiga bao.
Yeah.Mfano hai ni mradi haramu wa Bandari ya Bagamoyo
Umeambiwa alidhibiti; wewe unaongelea habari ya kuzibiti! Mpo kwenye frequency tofauti, hamtoelewana.Alizibiti wasio wake kuiba huku akiiba yeye?
Inatisha. Tatizo la maji Dar linaweza kuelezeka kwamba mto ruvu maji yamepungua.Leo hii wamerudi kwa kasi kama ilivuokuwa miaka ya 2005-2015.
Acha propaganda za kitoto.Yeye hakuwa fisadi?View attachment 2016686
Wewe utakua ni fisadi au ndugu wa fisadi, probably.Such a selfish president ever
Ndugu una hakika na haya unayomsingizia hayati JPM?
Kama alikuwa muovu mbona wananchi wanamkumbuka?Usitake kumpachika sifa za kijinga kama hatumjui, alikuwa ni kiongozi muovu. Na uovu wake tulisema hata alipokuwa hai.
Exactly.Wewe utakua ni fisadi au ndugu wa fisadi, probably.