Nakala walibaki nazo tume wenyewe wakati ilitakiwa kila wakala apewe nakala ya matokeo hivyo basi sio jambo la kuomba lilipaswa kufanyika kipindi cha uchaguziUkitaka kufungua kesi unanyimwa nakala?
Je what if respondents wakaweka pingamizi hizo nakala zinazoombwa tume au what if Tume wakakataa kutoa nakala?