Pre GE2025 Ni dhahiri Lissu akishindwa Uenyekiti hawezi kubaki CHADEMA. Akibaki naye atakuwa Walewale tu

Pre GE2025 Ni dhahiri Lissu akishindwa Uenyekiti hawezi kubaki CHADEMA. Akibaki naye atakuwa Walewale tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Habari za Leo.

Hakuna kitakachomfanya Lisu aendelee kubaki CHADEMA.

Lisu anagombea uenyekiti ili aisafishe CHADEMA Hasa kwenye Safu ya juu ya uongozi ambayo anaishutumu imechafuka kwa Rushwa na matendo ya kifisadi.

Ikitokea Lisu amepigwa chini. Na uongozi ule anaosema umechafuka kwa Rushwa ndio utakaokuwa unamuongoza yeye na Wanachadema wengine.

Lisu kama hapendi ufisadi na Rushwa na yeye anadai anaoushahidi usiotia Shaka kuwa Safu ya viongozi wenzake wa CHADEMA walioewa Rushwa na mtu Mmoja ajulikanaye kama Abdul, ikiwa ni moja ya Kesi Moja Kati ha nyingi anayowatuhumu wenzake. Hawezi kukubali kuongozwa na safu hiyo.

Ikiwa Lisu atakuwa Mwenyekiti itampasa kuwawajibisha anaowashutumu ili kuonyesha Uwajibikaji na mfano, lengo likiwa kuimarisha chama na kujenga imani kwa watu.

Akikosa, itampasa aidha ahame chama au apumzike Siasa. Ili kuonyesha alichokuwa anaongea alikuwa anamaanisha.

Ikiwa atabaki CHADEMA itaonekana alikuwa anafanya Siasa, na kuwasingizia wenzake ili yeye apate hiyo nafasi.

Kwa kifupi CHADEMA Mpaka Muda huu kimeshaanguka.

Wakuokoa chombo hiki alikuwa ni Mbowe kutokugombea. Lakini Kwa vile kagombea itampasa Mbowe akazane Sana ili asitie aibu.

Vyama vya upinzani vingine naona vishaiona hiyo fursa, naamini vimeshaanza kufanya mazungumzo na Tundu Lisu ili kuona kama watapata saini yake kwaajili ya usajili

Karibuni kwenye Mkesha,

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Habari za Leo.

Hakuna kitakachomfanya Lisu aendelee kubaki CHADEMA.

Lisu anagombea uenyekiti ili aisafishe CHADEMA Hasa kwenye Safu ya juu ya uongozi ambayo anaishutumu imechafuka kwa Rushwa na matendo ya kifisadi.

Ikitokea Lisu amepigwa chini. Na uongozi ule anaosema umechafuka kwa Rushwa ndio utakaokuwa unamuongoza yeye na Wanachadema wengine.

Lisu kama hapendi ufisadi na Rushwa na yeye anadai anaoushahidi usiotia Shaka kuwa Safu ya viongozi wenzake wa CHADEMA walioewa Rushwa na mtu Mmoja ajulikanaye kama Abdul, ikiwa ni moja ya Kesi Moja Kati ha nyingi anayowatuhumu wenzake. Hawezi kukubali kuongozwa na safu hiyo.

Ikiwa Lisu atakuwa Mwenyekiti itampasa kuwawajibisha anaowashutumu ili kuonyesha Uwajibikaji na mfano, lengo likiwa kuimarisha chama na kujenga imani kwa watu.

Akikosa, itampasa aidha ahame chama au apumzike Siasa. Ili kuonyesha alichokuwa anaongea alikuwa anamaanisha.

Ikiwa atabaki CHADEMA itaonekana alikuwa anafanya Siasa, na kuwasingizia wenzake ili yeye apate hiyo nafasi.

Kwa kifupi CHADEMA Mpaka Muda huu kimeshaanguka.

Wakuokoa chombo hiki alikuwa ni Mbowe kutokugombea. Lakini Kwa vile kagombea itampasa Mbowe akazane Sana ili asitie aibu.

Vyama vya upinzani vingine naona vishaiona hiyo fursa, naamini vimeshaanza kufanya mazungumzo na Tundu Lisu ili kuona kama watapata saini yake kwaajili ya usajili

Karibuni kwenye Mkesha,

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Lissu ahame tu. Hakuna chama hapo aisee kuna saccos ya watu flan flan
 
Lissu amekua popular kuliko Mwenyekiti wake, naona icon ya Lissu inauza kuliko icon ya chadema yenyewe.

Character aliyoinjenga ndio inayojiuza kwa watu.

Hivi hapo CHADEMA ukimtoa Lisu kuna nani mwingine mwenye Character zenye ushawishi kwa Watanzania.

CCM Wana kina Mpina, Makonda, Jerry Slaa.
 
Character aliyoinjenga ndio inayojiuza kwa watu.

Hivi hapo CHADEMA ukimtoa Lisu kuna nani mwingine mwenye Character zenye ushawishi kwa Watanzania.

CCM Wana kina Mpina, Makonda, Jerry Slaa.
Wenje Lema na Sugu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimemsikiliza Lissu Leo kule Space kwa Kweli anafaa sana Kushika hio nafasi ya Juu kabisa Chamani Just for reforms
 
Nadhani kwa sasa anawajibika kutoa kauli kama hiyo mpk uchaguzi utakapokamilika.

Lkn uchaguzi ukikamilika na Mbowe ametangazwa mshindi, Lisu kwa vyovyote ataondoka.

Atabaki vipi kwenye chama ambacho ni mali ya mtu??

Atabaki vipi kwenye chama ambacho wale aliowaita Wachafu ndio wanaomuongoza
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Habari za Leo.

Hakuna kitakachomfanya Lisu aendelee kubaki CHADEMA.

Lisu anagombea uenyekiti ili aisafishe CHADEMA Hasa kwenye Safu ya juu ya uongozi ambayo anaishutumu imechafuka kwa Rushwa na matendo ya kifisadi.

Ikitokea Lisu amepigwa chini. Na uongozi ule anaosema umechafuka kwa Rushwa ndio utakaokuwa unamuongoza yeye na Wanachadema wengine.

Lisu kama hapendi ufisadi na Rushwa na yeye anadai anaoushahidi usiotia Shaka kuwa Safu ya viongozi wenzake wa CHADEMA walioewa Rushwa na mtu Mmoja ajulikanaye kama Abdul, ikiwa ni moja ya Kesi Moja Kati ha nyingi anayowatuhumu wenzake. Hawezi kukubali kuongozwa na safu hiyo.

Ikiwa Lisu atakuwa Mwenyekiti itampasa kuwawajibisha anaowashutumu ili kuonyesha Uwajibikaji na mfano, lengo likiwa kuimarisha chama na kujenga imani kwa watu.

Akikosa, itampasa aidha ahame chama au apumzike Siasa. Ili kuonyesha alichokuwa anaongea alikuwa anamaanisha.

Ikiwa atabaki CHADEMA itaonekana alikuwa anafanya Siasa, na kuwasingizia wenzake ili yeye apate hiyo nafasi.

Kwa kifupi CHADEMA Mpaka Muda huu kimeshaanguka.

Wakuokoa chombo hiki alikuwa ni Mbowe kutokugombea. Lakini Kwa vile kagombea itampasa Mbowe akazane Sana ili asitie aibu.

Vyama vya upinzani vingine naona vishaiona hiyo fursa, naamini vimeshaanza kufanya mazungumzo na Tundu Lisu ili kuona kama watapata saini yake kwaajili ya usajili

Karibuni kwenye Mkesha,

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Akishindwa akaondoka, kwisha habari.
 
Back
Top Bottom