Ni dhahiri sasa TPL inahusishwa na kashfa za upangaji wa matokeo

Ni dhahiri sasa TPL inahusishwa na kashfa za upangaji wa matokeo

Kaka Pole Sana unateseka Sana siku hizi,Yanga mmelalamika kipindi kirefu tangu lini??wakati ule hesabu zikipigwa hata tukishinda zote sisi Simba bado tulikuwa nyuma yenu kwa point 5 mlikuwa mnalalamika Simba wananunua??baada ya kuwafunga mlipoona hesabu zikipigwa tunawapita point 5 ndio mmepagawa na kulalama muda wote!!#KilaMtuAshindeMechiZakeTutapigianaHesabuTukiwaKileleni

Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia mechi ya Coastal union Na Singida United..magoli yanafungwa marefa wanakataa....morali ya wachezaji ikashuka..Mikia msingetufunga
 
au una kampuni lako




vyura pumzikeni basi
Screenshot_2019-03-31-15-52-36.jpg
Screenshot_2019-03-31-15-52-07.jpg
Screenshot_2019-03-31-15-51-42.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom