Ni dhahiri shairi kuwa Ahmed Ally hawezi u-MC

Ni dhahiri shairi kuwa Ahmed Ally hawezi u-MC

goroko77

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2019
Posts
8,845
Reaction score
13,072
Ally ameboronga Sana leo kwa jinsi alivyokuwa anawatambulisha wachezaji wake japo alikuwa Ana utani ila hawezi kumfikia Manara kwa uwezo na ujuzi Kama mropokaji Manara alivyofanya katika sherehe ya utopolo

Manara ni fundi haswaa

Ally sauti ina kama inakwaruza kwaruza haikuwa POA na alikuwa hasikiki vizuri katika spika zilizowekwa uwanjani

Next time kah kama afsa tu Kam kina babra mtafuteni mropokaji mzuri anogeshe sherehe hata dkt cheni au mc garabiii angetisha tu

Pia acheni next time Kuja na majeneza uwanjani mmeniudhi Sana makolo nyie
 
We ni mjinga huyu ni meneja mawasiliano na huyu ni.mhamadishaji wapi na wapi.

Ahmed anafanya kazi in a orifessional way katika repurtable organisation yenye heshima yake africa na zeeuzeru yupo kwenye kikundi cha wahuni.

Meneja uhusiano na M C wa vigodoro wapi na wapi.
 
Ally ameboronga Sana leo kwa jinsi alivyokuwa anawatambulisha wachezaji wake japo alikuwa Ana utani ila hawezi kumfikia Manara kwa uwezo na ujuzi Kama mropokaji Manara alivyofanya katika sherehe ya utopolo

Manara Ni fundi haswaa

Ally sauti ina kama inakwaruza kwaruza haikuwa POA na alikuwa hasikiki vizuri katika spika zilizowekwa uwanjani

Next time kah kama afsa tu Kam kina babra mtafuteni mropokaji mzuri anogeshe sherehe hata dkt cheni au mc garabiii angetisha tu


Pia acheni next time Kuja na majeneza uwanjani mmeniudhi Sana makolo nyie
Sisi tunataka mtu professional ambae anaongea fact syo mlopokaji
 
Japo mtoa mada ni utopolo ila kuna ka- ukweli ameandika.

Haji sauti yake ni ya ki- mamlaka hivyo anavutia hata ukimsikiliza na kwa matukio kama hayo anafit.

Ahmed sauti yake sio ya ki-mamlaka. Kwa matukio ya jana amejitahidi sana kwa kuwa ile ilikuwa ni mara ya kwanza kufanya matukio kama yale.

Pia kuna makosa machache aliyafanya Ahmed kwenye utambulisho;

1. Alishindwa kutaja jina la mchezaji mgeni, badala yake akasema Mzunguu, Mzunguu. (Ile ni sawa na unyanyapaa wa rangi ya mtu)

2. Hakusema chochote kuhusu Hasani Dilunga kama ameachwa au bado ni sehemu ya timu.
 
Pia wakati mwingine aalikwe msanii wa kueleweka! Yule Zuchu alikuwa anajazwa maneno na kajinga fulani hivi, halafu na yeye anaongea vile vile!

Kuna wakati kalijivika koti la uanaume, na wakati kenyewe ni katoto kadogo tu ka kike! Eti hao utopolo ni wake zetu....!! Stupid!! Busara 0!
 
Manara ni takataka ambayo simba waliitupa sisi tukaiokota si mkubali jamaa .... basi tu ila kiukweli mimi mwanayanga ambaye sijasahau manara alivyotudhalilisha kwa kutuita sisi gongo wazi, hatuna akili n.k sijawahi sahau na sioni kama ni mtu smart kuwa yanga ya kisasa. tuambiane ukweli tu
 
Manara ni Manara, Ahmed ni Ahmed hawawezi kufanana kila mtu ana style yake. Ahmed jana ameifanya siku yangu kwenda vizuri kifupi jana kanikosha huyo mc wenu wa harusi bakieni nae shughuli ya mpira imefanywa na mtu wa mpira siyo mc wa harusi umlete kwenye mpira
 
Garra B aache kutafutia watu wachumba(Hellow Mr. right)aje kwenye mambo ya mpira wapi nawapi
 
Back
Top Bottom