goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Ally ameboronga Sana leo kwa jinsi alivyokuwa anawatambulisha wachezaji wake japo alikuwa Ana utani ila hawezi kumfikia Manara kwa uwezo na ujuzi Kama mropokaji Manara alivyofanya katika sherehe ya utopolo
Manara ni fundi haswaa
Ally sauti ina kama inakwaruza kwaruza haikuwa POA na alikuwa hasikiki vizuri katika spika zilizowekwa uwanjani
Next time kah kama afsa tu Kam kina babra mtafuteni mropokaji mzuri anogeshe sherehe hata dkt cheni au mc garabiii angetisha tu
Pia acheni next time Kuja na majeneza uwanjani mmeniudhi Sana makolo nyie
Manara ni fundi haswaa
Ally sauti ina kama inakwaruza kwaruza haikuwa POA na alikuwa hasikiki vizuri katika spika zilizowekwa uwanjani
Next time kah kama afsa tu Kam kina babra mtafuteni mropokaji mzuri anogeshe sherehe hata dkt cheni au mc garabiii angetisha tu
Pia acheni next time Kuja na majeneza uwanjani mmeniudhi Sana makolo nyie