Ni dhahiri shairi kuwa Ahmed Ally hawezi u-MC

Ni dhahiri shairi kuwa Ahmed Ally hawezi u-MC

Ally ameboronga Sana leo kwa jinsi alivyokuwa anawatambulisha wachezaji wake japo alikuwa Ana utani ila hawezi kumfikia Manara kwa uwezo na ujuzi Kama mropokaji Manara alivyofanya katika sherehe ya utopolo

Manara Ni fundi haswaa

Ally sauti ina kama inakwaruza kwaruza haikuwa POA na alikuwa hasikiki vizuri katika spika zilizowekwa uwanjani

Next time kah kama afsa tu Kam kina babra mtafuteni mropokaji mzuri anogeshe sherehe hata dkt cheni au mc garabiii angetisha tu


Pia acheni next time Kuja na majeneza uwanjani mmeniudhi Sana makolo nyie
Nani alikwambia kuwa ameajiliwa kuwa MC????
 
Ally ameboronga Sana leo kwa jinsi alivyokuwa anawatambulisha wachezaji wake japo alikuwa Ana utani ila hawezi kumfikia Manara kwa uwezo na ujuzi Kama mropokaji Manara alivyofanya katika sherehe ya utopolo

Manara Ni fundi haswaa

Ally sauti ina kama inakwaruza kwaruza haikuwa POA na alikuwa hasikiki vizuri katika spika zilizowekwa uwanjani

Next time kah kama afsa tu Kam kina babra mtafuteni mropokaji mzuri anogeshe sherehe hata dkt cheni au mc garabiii angetisha tu


Pia acheni next time Kuja na majeneza uwanjani mmeniudhi Sana makolo nyie
Alikuwa anarudiarudia tu maneno kama mtoto wa chekechekea
 
Tumpe mda ni mara yake ya kwanza kushiriki moja kwa moja kwenye tamasha kama lile naamini kuna kitu amejifunza.
 
Japo mtoa mada ni utopolo ila kuna ka- ukweli ameandika.

Haji sauti yake ni ya ki- mamlaka hivyo anavutia hata ukimsikiliza na kwa matukio kama hayo anafit.

Ahmed sauti yake sio ya ki-mamlaka. Kwa matukio ya jana amejitahidi sana kwa kuwa ile ilikuwa ni mara ya kwanza kufanya matukio kama yale.
Pia kuna makosa machache aliyafanya Ahmed kwenye utambulisho;
1. Alishindwa kutaja jina la mchezaji mgeni, badala yake akasema Mzunguu, Mzunguu. (Ile ni sawa na unyanyapaa wa rangi ya mtu)
2. Hakusema chochote kuhusu Hasani Dilunga kama ameachwa au bado ni sehemu ya timu.
Yanga walisema nini kuhusu kabwili ameachwa au yupo yanga mbona hajaonekana siku ya mwanachi.
 
Sahv namwita namwita mdhungu mdhuuungu mdhuuuuuungu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ulivyomalizia ndo utambulisho wako. Aibu sana mtu wa Yanga kujihusisha na mambo ya Simba. Tunakushukuru sana kwa kuacha kazi zako na kuja kutuunga mkono. THIS IS SIMBA.
Let mzunguu ndio jins ya kutambulisho wachezaji oneni sasa mnavyo chorwa na jamii kila Mahal letee mzunguuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom